Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishafutwa
Kwa hiyo ukajoin nakufungua uzi siku iyo iyo au ulkuja na ID nyingine?
Ahahahahaaaaa, pooleeeeKuna mwanaume alinichamba jamani na venye ni kapole nilikaa wiki nzima sijaingia humu...
Ikawa kila nikikutana nae nalog out
Leo niko huku kidogo.
Angalizo !
Kama uzi utakuwa una fanana au umeshawahi kuwekwa humu,ni aula nikakuzwa.
Sina kumbukumbu vizuri,ila nakumbuka ulikuwa uzi fulani unahusu "Cloning" (Nitasahihishwa juu ya anuani ya uzi husika) katika jukwaa la "Jamii Intelligence", nilijitutumua sana siku hiyo,huku kichwani nina mawazo ya kuwa humu kuna vichwa balaa na wako makini sana na ukikosea lazima uwekwe sawa,papo hapo. Hiyo siku nilikuwa makini sana,yaani nilikuwa naandika huku nafuta futa mara kadhaa. Uoga ulinijaa sana siku ile,nahisi ilikuwa ni sababu ya ugeni na kasumba iliyokuwepo kichwani mwangu.
Kama vile mimi.Hawataki kabisa kuchafua CV...masilent killer 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana
Au thread ipo jukwaani mtu anacoment pm.
Huu ujinga nilikuwa nao kitambo,nilikuwa najua jf ni kwa watu makini.Ivi JF ni sipesho sana eehh???
[emoji28]Kuna mwanaume alinichamba jamani na venye ni kapole nilikaa wiki nzima sijaingia humu...
Ikawa kila nikikutana nae nalog out
Dah ... [emoji28][emoji28][emoji7][emoji7][emoji7]Niliomba moderators waufute
Imagine niliweka ule uzi 2016 mtu anakuja PM 2018/2019 kunifariji [emoji28][emoji28]
[emoji38]nilianza kwa kuchangia pumba mpka leo nipo natemaga pumba tu na mashudu.
Kitu gani hicho ?