Ilikuwaje siku ya kwanza unachangia jambo humu jf ?

Mimi niliuliza swali kuwa aliechora ramani ya dunia yeye alikuwa wapi au dunia ipi wakati anachora mpaka sasa sijawahi pata hilo jibu
 
Au thread ipo jukwaani mtu anacoment pm.

Huwa napata shida muda unakuta mtoto umemuelewa halafu kufunguka "Changanyikeni" aibu,ukienda PM kumefungwa,unatamani uwe na uwezo upige ukelele au umshike mkono muhusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…