Do!!kazi kweli kweli kwahiyo ikawaje??Mteja alikuja dukani duka lilikuwa jipya akawa anaagiza vitu vingi Kwa mkupuo , alikuwa anaagiza vitu vinavyohitaji kupanda na ngazi. Baadae akaghaili kununua hata hivyo vitu. Akawa ameondoka na simu.
Kivipinimelia sana sanaπ
machoziπKivipi
Hauelewekimachoziπ
Hukupigwa loba la mbao πΉπΉπΉNiliporwa ππ nilishika mkononi.
Ukaekwa mtu kati ulipona kweli πΉπΉπΉNilikabwa na vibaka wakiwa na mapanga na visu
π π π πHukupigwa loba la mbao πΉπΉπΉ
Nilipona ila walinikata kidole lakini hakikukatika. Walitaka kukitoa baada ya kuwagomea kuchukua simu so nilipoacha wakaniachia na kidole changuUkaekwa mtu kati ulipona kweli πΉπΉπΉ
Malizia kuandika na yowe ulilopiga huku umetoa macho.πππNiliporwa ππ nilishika mkononi.
Sasa usiombe ukutane na vibaka wa cha ukucha unapigwa bapa za panga na km uko na manzi wako wanamchukua huku unaona πΉπΉπΉNilipona ila walinikata kidole lakini hakikukatika. Walitaka kukitoa baada ya kuwagomea kuchukua simu so nilipoacha wakaniachia na kidole changu