Ilikuwaje ukaibiwa simu??

Ilikuwaje ukaibiwa simu??

1. Ya kwanza niliibiwa nikiwa form 5, nilipoteza funguo ya chumba nikabaki na funguo ya akiba
Sikujisumbua kutafuta funguo iliyopotea.
Asubuhi nimeenda shule nikaacha simu kwenye chaji, niliporudi, kuingia ndani simu haipo.

2. Niliibiwa chuo mwaka wa 1, nimeingia kwenye paper, simu nikaacha kwenye begi nikaweka mbele
Nilipomaliza paper kwenda kuchukua begi simu hamna.
 
Back
Top Bottom