Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Yaani acha tu π π πMalizia kuandika na yowe ulilopiga huku umetoa macho.πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani acha tu π π πMalizia kuandika na yowe ulilopiga huku umetoa macho.πππ
umekaa kizembe sana! pole lakiniNiliporwa ππ nilishika mkononi.
Haha dog kaharibu mipango yoteπ€£π€£Mimi sikuibiwa ila nilikaa kwenye gari na dada mmoja mzuriiii, ikabidi nimpe simu aandike namba zake, akaipokea akawa anaandika namba ikatokea dereva kagonga dog, ikawa tafrani pale nikashuka haraka nikapanda gari lingine bila kusahau nimempa simu yule manzi....
Ahahahaha uzembeMteja alikuja dukani duka lilikuwa jipya akawa anaagiza vitu vingi Kwa mkupuo , alikuwa anaagiza vitu vinavyohitaji kupanda na ngazi. Baadae akaghaili kununua hata hivyo vitu. Akawa ameondoka na simu.
Hii ya pili ni uzembe wa kiwango cha lami1. Ya kwanza niliibiwa nikiwa form 5, nilipoteza funguo ya chumba nikabaki na funguo ya akiba
Sikujisumbua kutafuta funguo iliyopotea.
Asubuhi nimeenda shule nikaacha simu kwenye chaji, niliporudi, kuingia ndani simu haipo.
2. Niliibiwa chuo mwaka wa 1, nimeingia kwenye paper, simu nikaacha kwenye begi nikaweka mbele
Nilipomaliza paper kwenda kuchukua begi simu hamna.
Hii ndo naipenda mimi sasa hahahahaNiliporwa ππ nilishika mkononi.
Hi nzuri sanaNilikabwa na vibaka wakiwa na mapanga na visu
Kama mimi vile ndio simu ya kwanza na ya mwisho kuibiwaMteja alikuja dukani duka lilikuwa jipya akawa anaagiza vitu vingi Kwa mkupuo , alikuwa anaagiza vitu vinavyohitaji kupanda na ngazi. Baadae akaghaili kununua hata hivyo vitu. Akawa ameondoka na simu.