Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 892
- 683
[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ungefumba macho na ww ukapiga.ongeza wahaya, wanyamwezi, waruguru, wabende, wakonongo, wangoni.
kuna toto la kirangi jeupeee tamu hilo nilikua nalimezea mate kuja kuuliza majirani zaidi ya 6 wamelivua chupi. nkachoka zaid baada ya kufahamu kuna watoto flani wametia magovinda yao
Siku nilivyolala na mke wa mtu kiutani utani tu
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).
Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.
Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.
Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.
Ulifaidi sana ngozi kama hizi huwa nazihitaji sana ila niliwahi pata chotara na sikufaidiNakumbuka miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa nimetengena na mpenzi wangu.Sasa ikatokea kuna Jamaa mmoja namjua ye mtu mzima kidogo,ila sababu ughaibuni watu mnakuwa marafik tu.Jamaa akanambia yeye wife wake ana rafiki,ana matatizo na mme wake na wanataka kuachana ila yupo lonely sana anahitaji company.Nikamwambia amlete,bas siku naenda kwao kumuona yule mwanamke kumbe mwaarabu,nilistuka kidogo,sababu alionyesha anajiheshimu sana,na nilitegemea angekuwa mbantu mwenzangu ndo nnaowapenda,lakin maji nishayavulia nguo sikuwa na budi kuyaoga.
Sikuongea sana siku ile sababu nilishindwa kutongoza kikawaida,ikabidi nichukue namba nikamwambia tutaongea kesho yako,nilitaka nimpeleke sehemu sio pale kwa rafik angu.baada ya kuaga sijafika mbali simu inahita,kuangalia mke wa yule rafiki angu analalamika kuwa yule mwanamke anafikili sikumpenda ndo maana nimeondoa alaka.ikabid nigeuze nikarudi kumchukua,tukapiga story sana alikuwa mzuri sana.Akataka siku ya pili aje tena,baharia nikawa nishasoma zamani,nikampa address aje home,siku ile yaani namgusa kumtoa koti,mwil wake unatetemeka ile mbaya,kumkumbatia tu kalegea kabisa!.Alikuwa na mwili mzuri yule mdada na nikagundua alikuwa ana miss sana mwanamme,na mi nilikuwa na ugwadu flani hiv,nikawa nampa dozi za uhakika.tulidumu karibu miezi 8,mpaka nikawa naletewa chakula nyumbani.
Wengine kwasababu ya hali ngumu ya kiuchumi,anaweza kukufanya njia yakupatia mtaji na mumewe.Mwanamke akikuona unanafuu ya maisha anajifanya kakuelewa kwakukutega,mwisho wasiku mupo hotel(guest) kabla hujakula mzigo kunaibuka fumanizi,Mumewe anakuja na majamaa,Unaambiwa ili soo liishe utafutu PESA (ma million). Huku hata kumla mke hujamla,lakini vile umekutwa nae Guest.kuna mke wa MTU mmoja hivii...anachofanya anaanza kukushawishi kwa kauli na hata ishara..
sasa ukiingia mkenge na ukakubali,kitakachotokea anapanga na Mume wake naye anakufumania live
huyo Mume yeye anapendaga kukula kisamvu tu na mke anashuhudia..
yaani mtaani vijana wengi wanaliwa TIGO kimya kimya kwa kumpapatikia huyo mke wa mtuu
Nilitaka nivunge ila acha niseme, kuna UEFA ya mwaka juz walikuwa wanacheza juve na madrid, sasa nilikuwa kijijin kwetu.
Kuna mke wa jamaa mmoja niliwahig kumvua chup kitambo 2010 huko wakat tunamaliza form 4, sasa ilikuwaga kwenye mahind shamban, nikakomaga kuingiza mashine mbunye ikabana nikajikuta nakojoa pale pale mlangonii [emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Sasa siku hyo ya UEFA dem akanambia njoo nikaze jamaa ang anaenda mpirani, bas kwel jamaa tulienda nae kibanda umiza kuchek mech, ile kipind cha kwanza kinaishia nikatoka nikaenda kwa mke wa jamaa nikampiga kimoja nikarud kuendelea na mechii
Sasa huku nyuma jamaa madrid yakee ikashindaa alivofikaa hom akakomaa anatakaa mechii, mke akampaa jamaa kakuta fulu utelezi na ma genye yang nilotupiamo, akaleta noma sema wife aka mzima hakustukia ishuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alikuwa mtamu,alafu msafi sana.mpaka.leo siamin kama nilikiwa na mwanamke wa namna ile na sidhani kama zali kama lile nitapata tena.Ulifaidi sana ngozi kama hizi huwa nazihitaji sana ila niliwahi pata chotara na sikufaidi
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Kajaribuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hatutishiki
Kajaribuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Hawaja kuotea wotee hao wenye wake zaoo mkuu?Kuelezea wote itakua ni ngumu mana List ni ndefu
Waarabu - 5
Wahindi - 3
Wakienyeji aka Ebony - 11
= 19
hawa ndio ninaowakumbuka kwa haraka tu, Ila naamini wapo na wengine.
@mkewangumjamzitoMi nataka nmle mke wa yule jamaa ambaye anajiita mke wangu mjamzito ili abadilishe uzi humu
Single niko hapa mkuuKabisaaaaa umeongea kweli m mume wa mtu namuogopa kama ukoma na nafatwaga na wanaume za watu tu sijui lini nitampata single[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kunyima ntukitu angaliunacho, haiwezekani!!Na ni dhambi mtu akikutongoza kumkataa. Yaani unamkataa ili iweje.
haiwezekani kunyima ntukitu angali unacho!!Si ndio hapo
Hahaha acha bitiUkitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane