Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

kwaiyo mtoto sio wa msela?
 
Japo naona asilimia kubwa mwanamke akikuwekea mazingira wengi hamchomoi
 
Asilimia kubwa ya watu wanaokiri kuwala wake za watu hapa wanaonekana hawajaoa.Ngojeni muoe nanyie malipo duniani hapahapa
Kweli kabisa, back days wakati naishi hom kuna mke wa mtu ali fall completly hadi nyumbani wakawa wanajua mana nikiwa nyumbani tu haishi vituko mara aniite chumbani kwake na mengine... Ila sikumkula hata, mwingine kuna sehemu nilipanga sasa mama mwenye nyumba daah. alikuwa ni shida mana nikiwa hom anakuja hadi chumbani kudai ela ya umeme, nikiwa ghetto na lock mlango kwa ndani hadi agonge nikifungua nasimama mlangoni ndio tuongee hadi akazoe ila naye sikumkula hadi nimeama.
 
Andaa linda, senge wewe
 
Jemedari.siku inakuja
 
Hongera sana
 
Mmmmh japo umeshajua kuwa huyo n mke wa mtu, still unataka tena! Inaonekana yuko vizuri kunako huyo dada
 
Yupo poa usipime, ni wale wadada ukimcheki anaonekana kama mshamba,hana uvaaji wa kisasa, anatupia kawaida tu lakini shape na game yake si ya kitoto
Mmmmh japo umeshajua kuwa huyo n mke wa mtu, still unataka tena! Inaonekana yuko vizuri kunako huyo dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…