Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! Bora nibakie anithi tu mse*g* wewe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utakuwa ulilazimisha game mkuu, mtama ziba mdomo, nyanyua sijui gauni...
Alikuwaga jirani yangu. Siku hiyo nimekutana nae njiani kaniomba hela. Nilikuwa nayo lakini nikamwambia sijatembea na hela labda twende home ukachukue.
Alivyoingia ndani baasi kazi ikawa rahisi. Kwanza nilikuwaga namtamani muda mrefu na alivyo na chura.
 
Mkuu kwani wewe ni ngebo pia? Maana nilitaka adadavue jinsi alivyomuanza kumuimbisha mwalimu wake na kisha kupata alichokitaka.

Simulizi inaanza hivi, ingawa ni ndefu: Huyo mwalimu ndiye alinifundisha kuandika nikiwa darasa la kwanza.
Nimezaliwa 'mashoto', wakati naanza kujifunza kuandika nilikuwa natumia mkono wa kushoto.

Enzi hizo tulianza kujifunza kuandika kwa kuchora chini, mkitoka hapo mnapewa tablet za mbao na chaki na mkitoka hatua hiyo, mnaanza kutumia karatasi zenye line pana mchanganyiko na nyembamba pamoja na penseli maalumu zenye mrija mpana.

Kuhangaika kote huko, kuanzia kuchora chini, kuandikia ubao akawa ananipa tu ushirikiano na shoto langu.

Tulipofika hatua yakuanza kuandikia karatasi, akanigeuka kidhalilishaji.

Siku1 wakati nahangaika kuandika alikuja akanifinya kitoto, yaani mashavu yote kwa mikono miwili, akani'hook' juu kwa kutumia mashavu aliyonifinya kisha akanikita na konzi zito la adabu na kusindikiza kwa maneno...'nije nikuone tena unaandikia huo mkono wako wa mavi utaniona'...dah!

Ebanaeeh, alinivuruga kisaikolojia na kuanza kujilazimisha kuandikia mkono wa kulia, kifupi alinirudisha nyuma!

Kiukweli alinikomesha, maana nilijilazimisha hivohivo hadi nikazoea lakini mwandiko wangu sasa, ni mbovu hadi leo.

Moyoni halikunitoka hilo tendo na kupanga kwamba nitakapokuwa mkubwa na mimi atanikoma, hayo yalikuwa ni maneno tu ya ghadhabu, lakini sikujua nitamkomeshaje.

Mawazo hayo yalikuwa kama sala vile, maana nilipo maliza masomo na kupata kazi, tulikuja kukutana naye nishakuwa mkubwa nikamtongoza bila yeye kunifahamu background ya ninayemtongoza.

Alijikakamua kunibeza kwamba mi ni mdogo sana kwake, kwa nini namueleza upuuzi kama huo, maana nilianza kwa kumuamkia ....' shikamoo damkubwa'...

Nikakazia maneno yangu, kisha tukaishia kuwa wapenzi.

Nilichokuja kukigundua ni kwamba penzi kwa ajili ya kulipa kisasi ni tamu sana kuliko penzi la kawaida na usipokuwa makini linaweza kuvurugia 'future' zako.
Alikua na umri gani kipindi hiko
 
Nakuhurumia cku huyo mumewe akikukodishia watu... We c unasema mumewe kimoja tu chalii nafikir cku hiyo atapona kukushughulikia kwa hasira..... Kua makini
Wanawake hawana formular kwani wapo ambao wanapewa mema yote ya nchi lakini bado wanachepuka tu. Kama mwanaume nasaka hela ili familia yangu ipate maisha bora,kama mwanamke hathamini jasho na damu yangu kwenye mishe ni kupiga chini tu.
 
Nilianza kufanya kazi nikiwa bwana mdogo sana baada ya muda alikuja ajiliwa msichana mmoja hapo idarani kwetu, hakuwa amenizidi sana umri ila alikuwa mkimya kupitiliza.

Yeye kazi zake zilikuwa nyingi zaidi asubuhi ila mimi asubuhi huwa sina kazi sana hivyo kiubinaadam huwa napata huzuni hivyo huwa nikifika naanza kumsaidia kazi zake, hapo ndo tatizo lilipoanzia, baada ya muda akaanza kunizoea, akaja jua mimi nimtani wake wa kabila hivyo tuaanza kutaniana taniana, nikaja jua kama ameolewa hivyo nikawa namheshimu sana.

Sasa ghafra akaanza utani wa kuvuka mipaka, manzoni nilimpuuzia ila baadae akazidisha, akaenda zaidi kuniambia matatizo yake na mumewe jinsi anavyoteseka.Basi ijumaa moja kama utani nikamwambia kama anamaanisha anachosema basi aje jumamosi na nikamuelekeza, jumamosi kama muda wa saa tatu asubuhi kanipigia simu kuwa ashafika nilipomuelekeza, nikajua labda utani kweli kwenda namkuta basi nikampeleka hadi geto ila, ilikuchukua muda sana kumvua nguo maana anadai hakuwahi kuchepuka ila mwisho nikala mzigo.

Baada ya kula kula mzigo kama miezi 6 nikasia sikia tetesi kutoka wanyakazi wenzetu kuwa anaujauzito ila kila nikimuuliza alikuwa anakataa, basi mikasema haya hayanihusu mi nikaendelea kula mzigo. Ila baadae alinambia mwenyewe kuwa ni kweli ana ujauzito na ni wangu ila akanambia, akija jifungua salama atanambia.

Baada ya miezi 9 alijifungua salama,siku moja ndo akanambia story nzima kuwa baada ya kukaa muda mrefu bila ya kufanikiwa kupata ujauzito walienda hospital kupima ila jamaa ndo akaonekana anatatizo hawezi kutungisha mimba lakini cha ajabu jamaa hataki kuwaambia ndugu zake na ndugu zake mwanaume kila mara wanamsema na yeye mwanaume anaungana na ndugu zake kumsema, hivyo ndo akaamua kutafuta mtoto mwenyewe.

Yule mwanamke alinipenda sana, yule mtoto anafanana na mimi sana ila jamaa hainijui kabisa, nilikuwa kwenye mahusiano na yule msichana kwa miaka 8 ila hata tunaofanya nao kazi idara moja hawajaweza hata kutuhisi.

Yule jamaa aligoma kumlea yule mtoto kabisa ila mimi nilimsaidia sana yule mwanamke mana najua kisheria si mwanangu ila sikutaka mtoto apate shida kwa ujinga wetu, hadi siku mtoto anataka kubatizwa mwanamke akaniletea karatasi ambalo kunasehemu ya kuandika jina la mtoto, mimi nikaandika jina nililopendekeza nae akafurahi.

Nilimsaidia kulea mtoto hadi alivyofika miaka 5 yaani hadi mtoto anajua kuwa mimi ni baba pia maana alikuwa anakuja nae sana kwangu, ila mwisho nikamuomba yule mwanamke aendelee na mumewe, alilia sana ila niliacha kazi pale nikabidirisha namba ya simu pia hadi sasa tangua tuachane ni miaka 4.

Ila mwisho alinambia huyu jua ni mwanao, akikua nitamwambia ukweli wote kama akiamua kukutafuta sawa.
Daaa dunia hii
 
I was in texas when i was taking my Phd among of the universities in Town.
So i met someone we were so in love i was giving him to much support in our studies and in everything but when we are nearly finish our last semester he asked me to come in a good restaurant to talk and he ask me if i love him so much i told him yes and he apologise and tell me that he was married 2 kids.
I apologise and I left and thats was my finale love with married men.
Patricia story
Nice story. Quick question, in which language were you pursuing the PhD ?
 
Back
Top Bottom