Kanisan umeenda??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Threads za hivi ni aghalabu sana kuona comments za wadada wakikiri kuliwa namna hii.
ww na familia yako mmeenda?
Ndio nmerudi
kumbe ulibambikwa tuNilikuwa najaribu kuona msimamo wake, sikuzaa nae
Hello Aikambee
Hello Aikambee
Mambo yako
SawaMazuri tu
Ur welcome...enjoy ur day.Sawa
Hiyo ni theory tu!!!Mke wa mtu sumu jmn [emoji4][emoji4]
Heshima yako bossKatika mishe zangu za utekelezaji wa shughuli zangu,nilikutana na dada mmoja maeneo site ilipokuwepo. Nikarusha ndoano akazingua lakini baada ya wiki mbili akatoa tunda. Kila weekend akitoka church ananitafuta,tunaelekea sehemu tulivu kabisa tunazawadiana.
Juzi nimepiga simu anaongea kidogo anakata, nikipiga tena ninachoonhea anajibu kitu kingine kabisa. Haikupita muda ikapiga simu njemba moja inatoa povu balaa.
Ila niliua so,kutokana na story ya huyo dada,nilikuwa najua anapofanya kazi, namjua boss wake. Mume alipokuja juu,nilijifanya boss wa mke wake,jamaa akawa mpole balaa.
Nimepanga Kesho naonana na mpenzi wangu tunapeana tena.
Hata mie niliapa ila dah, sitakuja kurudia tenaa na single mother nae labda bahat mbayaaUtoa tu mzee what goes around comes around
sili mke wa mtu hata iweje
Hata mm nikioa sitasemaWanawake ndio hawasemi kama wameolewa
Acha ukorofi wako ππAlooo na third year yako ndio unatuandikia hivi kweli? Mwal kibibi alipokuwa anafundisha somo la mwandiko my dear ulikuwa wapi?
Mwandiko mbaya bana unachefua macho, uwe unaweka space ukiandika na ni lazima sio ombi.
AnazinguaAcha ukorofi wako ππ
***** walahi,nimecheka sa na...we itakuwa ulito.....mba mpk karangaMwezi uliopita nilikuwa mwanza katika matembezi nikakutana na mmama anatembeza karanga za kuchemsha alikuwa ni mjaluo ana mzigo sanchoka akasome afu mweusi,nilimpita nikampa salamu ila nilipofika mbele ikabidi nigeuke alipofika mbali kidogo nilirudi nikaanza mfatilia nyuma nyuma kuanzia mitaa ya Ghana hadi karibu na nera zilipo ofisi za halmashauri,wakazi wa mwanza watakuwa wanapafahamu. Nilipomfikia nikaanza kuzuga na stori na hakuonesha kushoboka wala nini, ikabidi niingie na gia ya kununua karanga zote.kufupisha stori alinipa namba kwa sharti la kutompigia kuanzia saa 12 jioni kwani mumewe anakuwepo. Kesho yake nilimpanga tukaonana mitaa ya kilimahewa akaingia gesti na karanga zake nikala mzigo.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app