Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Heshima yako boss
 
Alooo na third year yako ndio unatuandikia hivi kweli? Mwal kibibi alipokuwa anafundisha somo la mwandiko my dear ulikuwa wapi?

Mwandiko mbaya bana unachefua macho, uwe unaweka space ukiandika na ni lazima sio ombi.
Acha ukorofi wako πŸ˜€πŸ˜€
 
***** walahi,nimecheka sa na...we itakuwa ulito.....mba mpk karanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…