Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa nimetengena na mpenzi wangu.Sasa ikatokea kuna Jamaa mmoja namjua ye mtu mzima kidogo,ila sababu ughaibuni watu mnakuwa marafik tu.Jamaa akanambia yeye wife wake ana rafiki,ana matatizo na mme wake na wanataka kuachana ila yupo lonely sana anahitaji company.Nikamwambia amlete,bas siku naenda kwao kumuona yule mwanamke kumbe mwaarabu,nilistuka kidogo,sababu alionyesha anajiheshimu sana,na nilitegemea angekuwa mbantu mwenzangu ndo nnaowapenda,lakin maji nishayavulia nguo sikuwa na budi kuyaoga.
Sikuongea sana siku ile sababu nilishindwa kutongoza kikawaida,ikabidi nichukue namba nikamwambia tutaongea kesho yako,nilitaka nimpeleke sehemu sio pale kwa rafik angu.baada ya kuaga sijafika mbali simu inahita,kuangalia mke wa yule rafiki angu analalamika kuwa yule mwanamke anafikili sikumpenda ndo maana nimeondoa alaka.ikabid nigeuze nikarudi kumchukua,tukapiga story sana alikuwa mzuri sana.Akataka siku ya pili aje tena,baharia nikawa nishasoma zamani,nikampa address aje home,siku ile yaani namgusa kumtoa koti,mwil wake unatetemeka ile mbaya,kumkumbatia tu kalegea kabisa!.Alikuwa na mwili mzuri yule mdada na nikagundua alikuwa ana miss sana mwanamme,na mi nilikuwa na ugwadu flani hiv,nikawa nampa dozi za uhakika.tulidumu karibu miezi 8,mpaka nikawa naletewa chakula nyumbani.
 
Mi natafuta vumbi la kongo original..kuna ke wa Mchungaji ananichekea chekea ilihali mimi hata kanisa silijui ..so naomba mwenye contact la Vbi og AniPm tafadhari pia nashida sana na Khantwe
Wachungaji hawanaga noma hata akikushika hawezi kukukula kisamvu
Wana imani sana ya dini atakupiga makofi tu atakuachia
 
Back
Top Bottom