Good Mood
Member
- Sep 12, 2018
- 58
- 119
Nilisha mla mke wa jamaa mpangaji mwenzangu. Mke wa jamaa dizain alinielewa muhuni sinaga maneno mengi .alianza kuonesha dalili flani iv za kunitaka kila akienda dukan akirud hata na pipi lazima anigongee anipe moja. Nikahofia nisije kutia maneno kumbe yeye anachukulia ubest tuu nikaharibu hali ya hewa . Nakumbuka mara ya kwanza kumla ilikua asubuh kaja kama kawaida anaazima brash akaoshee viatu vya mmewe nikamtania tuu karibu ndani leo na hamu kwel ya kumkumbatia mtu akaguna akaniuliza kukumbatia tuu nikamwambia huo unaeza kuwa funguo ya kufungulia mambo matamu zaid akacheka akataka anikumbatie pale aondoke nikam enjoy anaeza akarud ghafla mme wake akaingia kwel kanikumbatia tuu nikambusu shingon na kuanza kuinyonya nikaona mtu aniachii nimkumbatie tena upande wa pili nikapandisha ulimi sikion nilisikia miguno mtu akanilalia kabisa kifuani nikajua nimefungua ghala lake la ashki kilicho fuata kinajulikana. Ila sasa akawa anakuja speed had najistukia akipata mda tuu anakuja na ninavyo eshimiana na mmewe ikabid nihame tuu kabla kodi haijaisha.