Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Unyama huu mkuu....

[emoji2][emoji2][emoji2]Wanatutaka wenyewe.
 
Hatari sana... usije ukarudia tena...
Daah haya mambo sio poa nipo Mahal flan kikaz sasa kuna mke wa jamaa yangu tulipofikia jamaa anamzingua so akajisogeza kwangu nikawa namkwepa hatimaye nikaamua kumla kishingo upande ila kwenye gem ndom ikapasuka hapa nilipo nimechanganyikiwa sijui nikapime ngoma maana hata kurudi Kwa mke wangu nawaza afya nisijekua nimeungua

Cc: mahondaw
 
Mmmmh,
mimi sina mengi ya kusema. ila nimewala sana hao wake za watu. Mwanzoni kabisa alitokea dada mmoja alinidanganya kuwa hajaolewa, mapenzi yalivyonoga nikagundua ana mume ila nikagundua wamepishana sana umri kiasi kwamba mke hanogewi kabisa na shughuli ya mumewe ila kavutwa na pesa. Baada ya yule sijui ndo ibilisi alifungua mlango, mpaka sasa hata sina idadi kamili maana wengine bado wapo kwenye list ndani ya wiki chache zijazo watakuwa nyavuni.

Tunapokemea kutembea na wake za watu tuwe tunatoa alternative au plan B ya kuokoa ndoa zetu. Wanawake wengi kwenye ndoa hawafikishwi kabisa kileleni na waume zao, stress za maisha, magonjwa kama kisukari, pombe, sigara, kukosa muda wa kupumzika, umbali, n.k. vyote vinasababisha wanawake washindwe kuvumilia. Nilikuwa nasikiaga tu habari ya mke wa mtu kumhonga mchepuko, mpaka pale ilipotokea live nilimpa shughuli akawa anapiz kwa kumwaga maji yanaruka shuka ikalowa. Akaja kuniuliza nafanyaje mpaka anakojoa vile kwani mumewe hajawahi kumfanyia vile hata goli moja kufika ni shida. Kuanzia pale nimekula sana pesa ya huyo mama wakati mwingine anampiga mzinga mumewe anakuja kuniletea.
 
Mmmmh,
mimi sina mengi ya kusema. ila nimewala sana hao wake za watu. Mwanzoni kabisa alitokea dada mmoja alinidanganya kuwa hajaolewa, mapenzi yalivyonoga nikagundua ana mume ila nikagundua wamepishana sana umri kiasi kwamba mke hanogewi kabisa na shughuli ya mumewe ila kavutwa na pesa. Baada ya yule sijui ndo ibilisi alifungua mlango, mpaka sasa hata sina idadi kamili maana wengine bado wapo kwenye list ndani ya wiki chache zijazo watakuwa nyavuni.

Tunapokemea kutembea na wake za watu tuwe tunatoa alternative au plan B ya kuokoa ndoa zetu. Wanawake wengi kwenye ndoa hawafikishwi kabisa kileleni na waume zao, stress za maisha, magonjwa kama kisukari, pombe, sigara, kukosa muda wa kupumzika, umbali, n.k. vyote vinasababisha wanawake washindwe kuvumilia. Nilikuwa nasikiaga tu habari ya mke wa mtu kumhonga mchepuko, mpaka pale ilipotokea live nilimpa shughuli akawa anapiz kwa kumwaga maji yanaruka shuka ikalowa. Akaja kuniuliza nafanyaje mpaka anakojoa vile kwani mumewe hajawahi kumfanyia vile hata goli moja kufika ni shida. Kuanzia pale nimekula sana pesa ya huyo mama wakati mwingine anampiga mzinga mumewe anakuja kuniletea.
Naomba nikushaur kama nilivyo shauriwaa

Unapoelekea kwenye mechi chukua KY kabsa maana hujui siku wala saa kisamvu kitakapo hitajikaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji32][emoji32]
 
Upo kama mm tu nina mwaka sijapima kisa kuuza mechi kwa mke wa mtuu
 
Back
Top Bottom