king_azy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 265
- 939
Mi nakumbuka siku moja nimefika nyumbani kutoka kibaruani nikiwa nimechoka kutokana na mikiki mikiki ya wahindi na daradara za mbagara, kufika gheto naangalia simu nakuta missed call namba mpya, nikajiuliza nani huyu, kuangalia namba imesajiliwa kwa jina gani kama naweza kumjua ila jina lililotokea hata sijawahi kulisikia.
Nikaona si kesi nikapiga simu akapokea mtu na sauti kama ya msichana mdogo mdogo, nikamuuliza nani akajitambulisha na akaongeza eti tulikutana kwenye gari tulivyokuwa tunaelekea Singida, ikiwa mimi hata njia ya singida sijawahi kuipita ila nikaamua kujifanya ndo mimi, baada ya kuongea ongea nae inaonekana jamaa alimtongoza wakabadirishana namba ila jamaa akawa kimya sasa sijui yule dada alikosea kunakili namba hata sijui.
Ila siku moja kabla ya kukutana nikapige mzigo nikaona tu nimwambie ukweli kuwa mimi si huyo jamaa yake, ila cha kushangza akasema ye hana shida labda kama mimi ndo sitaki basi nikaenda hadi gongolamboto.
Aisee cha kushangaza nikakutana na mmama amenipiga gap la kama 10yrs,ila yeye cha kushangaza wala hakuwa hata na wasiwasi, basi nikatafuta Lodge nikaingiza mzigo nikapiga kwanza kimoja akili ikae sawa, kisha nikaanza kupiga nae story ndo nikajua kuwa kaolewa na anawatoto wawili,nikaishiwa kabisa na nguvu ikanibidi tu nipige show ya ukweli kisha nikasema hanipati tena huyu. Baada ya hapo kila akinitafuta namzingua zingua tu hadi kachoka mwenyewe.
Nikaona si kesi nikapiga simu akapokea mtu na sauti kama ya msichana mdogo mdogo, nikamuuliza nani akajitambulisha na akaongeza eti tulikutana kwenye gari tulivyokuwa tunaelekea Singida, ikiwa mimi hata njia ya singida sijawahi kuipita ila nikaamua kujifanya ndo mimi, baada ya kuongea ongea nae inaonekana jamaa alimtongoza wakabadirishana namba ila jamaa akawa kimya sasa sijui yule dada alikosea kunakili namba hata sijui.
Ila siku moja kabla ya kukutana nikapige mzigo nikaona tu nimwambie ukweli kuwa mimi si huyo jamaa yake, ila cha kushangza akasema ye hana shida labda kama mimi ndo sitaki basi nikaenda hadi gongolamboto.
Aisee cha kushangaza nikakutana na mmama amenipiga gap la kama 10yrs,ila yeye cha kushangaza wala hakuwa hata na wasiwasi, basi nikatafuta Lodge nikaingiza mzigo nikapiga kwanza kimoja akili ikae sawa, kisha nikaanza kupiga nae story ndo nikajua kuwa kaolewa na anawatoto wawili,nikaishiwa kabisa na nguvu ikanibidi tu nipige show ya ukweli kisha nikasema hanipati tena huyu. Baada ya hapo kila akinitafuta namzingua zingua tu hadi kachoka mwenyewe.