Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.
Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi. Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuw alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe waekuja kwa bibi yao. Ugomvi ukaanza hivyo. Kila aiku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.
Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha. Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa. Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.