Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Kwenye zama hizi za uzinzi na JF iliyosaidia kuondoa stress, kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.

Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu, ilikuwaje?
 
images (9) - 2024-08-02T181741.856.jpeg

Mwamba anasubiri watu wake watoe ushuhuda
 
Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
 
Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.

Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi.

Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuw alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe waekuja kwa bibi yao.

Ugomvi ukaanza hivyo. Kila aiku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.

Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha.

Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa.

Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.
 
Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.
Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi. Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuw alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe waekuja kwa bibi yao. Ugomvi ukaanza hivyo. Kila aiku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.
Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha. Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa. Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.
Halooo 😅😅😅
 
Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.
Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi. Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuw alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe waekuja kwa bibi yao. Ugomvi ukaanza hivyo. Kila aiku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.
Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha. Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa. Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.
Lihuni likubwa wewe!Mbinguni utapaona kwenye filamu tu.Huendi ng'oo!
 
Lihuni likubwa wewe!Mbinguni utapaona kwenye filamu tu.Huendi ng'oo!
Kufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usiku ule tulitoka watatu tukaenda kupata bia mbili tatu.Tulikuwa mimi,yeye(shemeji) na rafiki yake.Tukiwa tunapiga vitu(pombe)shemeji kila saa akawa ananichokoza anamuulizia ulizia wifii yake nikajua hapa kuja jambo,tukiwa tunakunywa nikaanza kupitisha mikono kwenye mapaja manene meupe laini ya shemeji huku nikimsifia alivyonona,wala hakuwa mkali

Tuliendelea kupiga tungi mwishowe yule rafiki yake na shemeji pombe zilipomkolea akatukimbia(Ni kawaida yake).Tuliendelea kunywa na shemeji mpaka mida ikasogea tukaazimia tuondoke.Shemeji akataka nimsindikize nikasema sawa nikamsindikiza mpaka karibu na kwake lakini akaniambia karibu nyumbani na zile pombe nikakaribia kweli,nikakaribishwa mpaka ndani.Mmewe alikuwa anafanyia kazi mkoa wa mbali hivyo hakuwepo na watoto walikuwa boarding,basi nilikaribishwa mpaka chumba cha watoto tukalala huko,tukafanya ya kwetu.Nilidamka saa 11 niwahi kwangu wakuda wasije kuniona nikitoka mle asubuhisubuhi na kuconnect dots.Toka siku hiyo nikawa najipigia kika nitakapo.
 
Back
Top Bottom