Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Kwa hiyo,ukaona wamemkomoa! Si ndio? Mwanaume mjinga,hawezi kucontrol hisia zake.
Mtu hujamkuta analia nyumbani kwako,aseme labda nimebakwa. Haya,kajipeleka mwenyewe,hujui wamekubaliana nini. Kosa la mwanaume hapo ni lipi? Kosa ni la mwanamke. Hujasema labda walipofumaniwa mwanamke alijibu nini. Mbele za watu akisema anatafuta alichokosa kwako? Hivi,unadhani miaka kama 100 huko nyuma fumanizi hazikuwepo? Ulizia watu wazima walitatua vipi changamoto hizo. Fedheha inaenda kwa mwenye kumegewa wala si kwa mmegaji kuu.

Ulimwengu wa sasa una yake. Na kwanza elewa. Mwanamke aliyewajua wanaume kabla ya kuhifadhiwa,hata umpe nini,atachepuka hata na chizi.
Na kumbuka,kuna wengine hutafuta mbinu za kuachwa kwa mtindo huo,baada ya kujaribu kila wanaloliweza na kugandwa na wenzao. Mwanaume kamili eti unaenda kumfumania mkeo. Huku kaipeleka mwenyewe?!
Ngoja ujae ndio utajua kosa ni la nani. Huyo jamaa tena ana huruma kutafuta njemba 2 mbili tu, hutafutwa njemba 5 na kuendelea, akitoka hapo ni hospital kwani kiuno na miguu vinakua havifanyi kazi.
 
Ngoja ujae ndio utajua kosa ni la nani. Huyo jamaa tena ana huruma kutafuta njemba 2 mbili tu, hutafutwa njemba 5 na kuendelea, akitoka hapo ni hospital kwani kiuno na miguu vinakua havifanyi kazi.
Sana yani.mwana ni muungwana sana,yani hadi wakamsaidia kumpeleka nyumbani kwake!!
 
Mistari miwili ya nguvu naona umempa Ibilisi kombe . 🤣🤣🤣


Na mimi nakumbuka kuna safari moja nilikuwa naenda Kahama nilikaa seat moja na toto na Kibrushi aisee the rest was 🥳🥳🥳🥳

Nimekuwa Shehe sasa hivi sitaki tena mademu wa safarini tena.
Kuna kupitiwa na shetani mkuu. Shetani akikupigia wee nenda tu usiogope😂😂
 
Ulifanya dhambi 3.
1. Kumlia rafiki mke tena kwake...hii dhambi mimi nimeishinda mara nyingi😂

2. Umemchafua mke wa mtu, matumizi mabaya ya nyege😂

3. Dhamimbi ya uasherati na zinaa zote kwa pamoja
Mimi at that time nilikuwa 20 tu braza sasa kosa langu ni lipi ?
Mgeni toka jijini ?
Kuogea shower gel ?
Kunukia vizuri ?
Kuwa na simu ya Nokia 2600 ?
Sikuwa hata na lengo la kumla yule Mwanamke ila ni yeye ndio alitaka aje kulala kwenye godoro sebuleni mara anawashwa mgongoni nimkune na Mimi ni Mwanaume timamu nikajikuta nimeteleza tu.
 
Kwenye zama hizi za uzinzi na JF iliyosaidia kuondoa stress, kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.

Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu, ilikuwaje?
Ilikuwa hivi...

Kwanza.
Alijilenhesha....

Wake za watu wanajilengesha mno
 
Kwenye zama hizi za uzinzi na JF iliyosaidia kuondoa stress, kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.

Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu, ilikuwaje?
Mmmmh
 
Back
Top Bottom