Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Dear ex alitembelea mkoa niliopo, tukasingizia tumemisiana.

Mwingine, naye dear ex, tunaishi naye hapa kwa Chalamila akawa anasingizia mimi pekee ndiyo chanzo cha kweli cha furaha yake.

Hata hivyo nilishatubu na kuacha hii tabia mbaya isiyopendeza mbele ya Mungu na jamii.
 
Duuh hii mbona mpya imeandikwa wapi kwani?
Hivi ndivyo BWANA alivyomuambia Daudi baada ya kulala na mke wa Uria.
2 Samweli 12
11 Bwana asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili.

12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua.

Na BWANA akatimiza neno lake.
2 Samweli 16
21 Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu, Ingia wewe kwa masuria ya baba yako, hao aliowaacha ili kutunza nyumba; na Israeli wote watasikia ya kuwa umechukizwa kabisa na baba yako; ndipo itatiwa nguvu mikono yao wote walio pamoja nawe.

22 Basi wakamtandikia Absalomu hema juu ya nyumba darini; naye Absalomu akaingia kwa masuria ya babaye machoni pa Israeli wote.

23 Na shauri lake Ahithofeli, alilokuwa akilitoa siku zile, lilikuwa kama mtu aulizapo kwa neno la Mungu; ndivyo yalivyokuwa mashauri yote ya Ahithofeli, kwa Daudi, na kwa Absalomu.
 
Kumbuka Mungu alimlipa Daudi kwa wanawake zake kumi kuliwa na mwanaume mmoja aitwaye Absalomu kwa siku moja.

Yaani ukila mke wa mtu asiye na hatia, ujue wa kwako ataliwa na hapo Mungu analipa kisasi kwa ajili ya mwanaume ambaye si msaliti.
Ipo kwenye kitabu kipi hiyo? Mstari gani?
 
Kwenye zama hizi za uzinzi na JF iliyosaidia kuondoa stress, kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.

Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu, ilikuwaje?
Mke wa mtu bado ni mwanamke
 
🤣🤣🤣
Longtime ago Nimetoka zangu Jijini kwenda kuwasalimia Bibi na Babu kufika wilayani pale nilikuwa nawasiliana na Jamaa yangu ambaye nilisoma naye primary miaka ile enzi za utawala wa BWM, kufika pale wilayani nikafikia kwa Baba zangu ambao ni wakaazi pale Wilayani. Jamaa alikuwa ni rafiki sana na nyakati nyingi tulikuwa tunawasiliana kwa simu nilivyofika pale Wilayani nikamcheki pia, akanielekeza nifike mpaka nyumbani kwake kwani tayari alikuwa ameshaoa at that time nilikuwa na age ya 20 tu na yeye alikuwa na 23 au 24. Kweli nikatoka kwa Baba yangu mdogo nikapanda daladala (baiskeli) mpaka kwake nilivyofika pale niko msafi nanukia Kijana kutoka Jijini. Nikauliza kwa fulani ndio wapi ? Nikaelekezwa na jamaa alikuwa ni maarufu kwa sababu alikuwa ameshajenga nyumba nzuri japo haikuwa ameifanyia finishing lakini ilikuwa ni yenye kuvutia sana. Jamaa alikuwa ni mpambanaji sana, kufika pale nikamkuta Mke wake ni kibinti kizuri hasaa Shombe shombe dizaini ya kina Shishi baby. Akanikaribisha tukasalimiana vizuri tu ilikuwa mida ya saa 9 alasiri. Nikamwambia mimi ni jamaa ya mume wake na mara ya mwisho tuliachana tukiwa darasa la pili mpaka sasa nikaribia miaka 11 hatujaonana. Nikampigia jamaa nikampata hewani akasema nimsubiri kitambo sana hatujaonana. Mke wake akaenda kukamata Jogoo na kuchinja, Sasa imefika mida ya saa 11 jioni jamaa akanicheki akaniambia mvua imenyesha sana uwezekano wa kurudi utakuwa ni mdogo sana maana maji yalikuwa yamejaa mtoni na kipindi hicho ule mto daraja lilikuwa halijajengwa na maji yalikuwa yana kasi sana. Kutoka nje na kuulizia eti ule mto X vipi unapitika ? Wakasema haiwezekani kupita maji ni mengi sana na hakuna daraja. Kumpigia jamaa hapatikani, ikabidi nibaki pale pale kwa jamaa. Shemeji akaniandalia maji tena ya moto nikaenda kuoga akawa ameenda kununua sabuni ya mgeni Giv nikamwambia nina sabuni yangu ya maji Shower gelly alishangaa kuona namimina kwenye maji naenda kuoga. Akaniingia bafuni akanusa harufu nzuri ya shower Gel acha abaki kushangaa na kisimu changu cha Nokia 2600 😃😃😃
Usiku nikala Wali na kuku, aliniwekea msosi mwingi sana lakini alishangaa nakula kidogo tu. Nikamwambia watu wa mjini hatuli sana kwa sababu hatufanyi kazi ngumu kama huku mikoani.
Wakati wa kulala akanitolea godoro pale sebuleni nilale maana ile nyumba vyumba vingine havikuwa hata na sakafu zaidi ya chumba wanacholala na sebule. Kanitolea godoro na shuka nilale pale, Chakushangaza na yeye akawa anataka alale pale pale kwenye godoro na sio chumbani kwake tena 🤣🤣🤣
At that time nilikuwa sina papara wala mambo mengi nikamuacha tu akalala, hee usiku akawa ananiwekea mitego maana alikuwa na kanga tu, mara miguu aweke hivi mara vile, mara mgongoni anawashwa nimkune, nikajikuta naanza kudinda na kipindi kile tulikuwa 2G nikasimamisha na yeye alikuwa anautaka aiseee.
Nilijikuta napiga shoo ya Kizembe na yule Shemeji , japo alikuwa hatosheki maana watu wa mikoani wana energy sana na hakukuwa na agano la kupiga shoo aisee yule Shemeji hakutosheka na Mimi at that time niko 20 nilishindwa kummaliza haja zake.
Kumekucha jamaa karudi alifurahia sana kuniona tukapiga sana story mpaka mchana akanisindikiza kwa kunipakiza kwenye baiskeli mpaka kijijini kwa Bibi.
Lakini Mke wake nilimla aisee japo shoo ilinishinda 😄😄😄😄
 
🤣🤣🤣
Longtime ago Nimetoka zangu Jijini kwenda kuwasalimia Bibi na Babu kufika wilayani pale nilikuwa nawasiliana na Jamaa yangu ambaye nilisoma naye primary miaka ile enzi za utawala wa BWM, kufika pale wilayani nikafikia kwa Baba zangu ambao ni wakaazi pale Wilayani. Jamaa alikuwa ni rafiki sana na nyakati nyingi tulikuwa tunawasiliana kwa simu nilivyofika pale Wilayani nikamcheki pia, akanielekeza nifike mpaka nyumbani kwake kwani tayari alikuwa ameshaoa at that time nilikuwa na age ya 20 tu na yeye alikuwa na 23 au 24. Kweli nikatoka kwa Baba yangu mdogo nikapanda daladala (baiskeli) mpaka kwake nilivyofika pale niko msafi nanukia Kijana kutoka Jijini. Nikauliza kwa fulani ndio wapi ? Nikaelekezwa na jamaa alikuwa ni maarufu kwa sababu alikuwa ameshajenga nyumba nzuri japo haikuwa ameifanyia finishing lakini ilikuwa ni yenye kuvutia sana. Jamaa alikuwa ni mpambanaji sana, kufika pale nikamkuta Mke wake ni kibinti kizuri hasaa Shombe shombe dizaini ya kina Shishi baby. Akanikaribisha tukasalimiana vizuri tu ilikuwa mida ya saa 9 alasiri. Nikamwambia mimi ni jamaa ya mume wake na mara ya mwisho tuliachana tukiwa darasa la pili mpaka sasa nikaribia miaka 11 hatujaonana. Nikampigia jamaa nikampata hewani akasema nimsubiri kitambo sana hatujaonana. Mke wake akaenda kukamata Jogoo na kuchinja, Sasa imefika mida ya saa 11 jioni jamaa akanicheki akaniambia mvua imenyesha sana uwezekano wa kurudi utakuwa ni mdogo sana maana maji yalikuwa yamejaa mtoni na kipindi hicho ule mto daraja lilikuwa halijajengwa na maji yalikuwa yana kasi sana. Kutoka nje na kuulizia eti ule mto X vipi unapitika ? Wakasema haiwezekani kupita maji ni mengi sana na hakuna daraja. Kumpigia jamaa hapatikani, ikabidi nibaki pale pale kwa jamaa. Shemeji akaniandalia maji tena ya moto nikaenda kuoga akawa ameenda kununua sabuni ya mgeni Giv nikamwambia nina sabuni yangu ya maji Shower gelly alishangaa kuona namimina kwenye maji naenda kuoga. Akaniingia bafuni akanusa harufu nzuri ya shower Gel acha abaki kushangaa na kisimu changu cha Nokia 2600 😃😃😃
Usiku nikala Wali na kuku, aliniwekea msosi mwingi sana lakini alishangaa nakula kidogo tu. Nikamwambia watu wa mjini hatuli sana kwa sababu hatufanyi kazi ngumu kama huku mikoani.
Wakati wa kulala akanitolea godoro pale sebuleni nilale maana ile nyumba vyumba vingine havikuwa hata na sakafu zaidi ya chumba wanacholala na sebule. Kanitolea godoro na shuka nilale pale, Chakushangaza na yeye akawa anataka alale pale pale kwenye godoro na sio chumbani kwake tena 🤣🤣🤣
At that time nilikuwa sina papara wala mambo mengi nikamuacha tu akalala, hee usiku akawa ananiwekea mitego maana alikuwa na kanga tu, mara miguu aweke hivi mara vile, mara mgongoni anawashwa nimkune, nikajikuta naanza kudinda na kipindi kile tulikuwa 2G nikasimamisha na yeye alikuwa anautaka aiseee.
Nilijikuta napiga shoo ya Kizembe na yule Shemeji , japo alikuwa hatosheki maana watu wa mikoani wana energy sana na hakukuwa na agano la kupiga shoo aisee yule Shemeji hakutosheka na Mimi at that time niko 20 nilishindwa kummaliza haja zake.
Kumekucha jamaa karudi alifurahia sana kuniona tukapiga sana story mpaka mchana akanisindikiza kwa kunipakiza kwenye baiskeli mpaka kijijini kwa Bibi.
Lakini Mke wake nilimla aisee japo shoo ilinishinda 😄😄😄😄
Nikifa MkeWangu Asiolewe
 
🤣🤣🤣
Longtime ago Nimetoka zangu Jijini kwenda kuwasalimia Bibi na Babu kufika wilayani pale nilikuwa nawasiliana na Jamaa yangu ambaye nilisoma naye primary miaka ile enzi za utawala wa BWM, kufika pale wilayani nikafikia kwa Baba zangu ambao ni wakaazi pale Wilayani. Jamaa alikuwa ni rafiki sana na nyakati nyingi tulikuwa tunawasiliana kwa simu nilivyofika pale Wilayani nikamcheki pia, akanielekeza nifike mpaka nyumbani kwake kwani tayari alikuwa ameshaoa at that time nilikuwa na age ya 20 tu na yeye alikuwa na 23 au 24. Kweli nikatoka kwa Baba yangu mdogo nikapanda daladala (baiskeli) mpaka kwake nilivyofika pale niko msafi nanukia Kijana kutoka Jijini. Nikauliza kwa fulani ndio wapi ? Nikaelekezwa na jamaa alikuwa ni maarufu kwa sababu alikuwa ameshajenga nyumba nzuri japo haikuwa ameifanyia finishing lakini ilikuwa ni yenye kuvutia sana. Jamaa alikuwa ni mpambanaji sana, kufika pale nikamkuta Mke wake ni kibinti kizuri hasaa Shombe shombe dizaini ya kina Shishi baby. Akanikaribisha tukasalimiana vizuri tu ilikuwa mida ya saa 9 alasiri. Nikamwambia mimi ni jamaa ya mume wake na mara ya mwisho tuliachana tukiwa darasa la pili mpaka sasa nikaribia miaka 11 hatujaonana. Nikampigia jamaa nikampata hewani akasema nimsubiri kitambo sana hatujaonana. Mke wake akaenda kukamata Jogoo na kuchinja, Sasa imefika mida ya saa 11 jioni jamaa akanicheki akaniambia mvua imenyesha sana uwezekano wa kurudi utakuwa ni mdogo sana maana maji yalikuwa yamejaa mtoni na kipindi hicho ule mto daraja lilikuwa halijajengwa na maji yalikuwa yana kasi sana. Kutoka nje na kuulizia eti ule mto X vipi unapitika ? Wakasema haiwezekani kupita maji ni mengi sana na hakuna daraja. Kumpigia jamaa hapatikani, ikabidi nibaki pale pale kwa jamaa. Shemeji akaniandalia maji tena ya moto nikaenda kuoga akawa ameenda kununua sabuni ya mgeni Giv nikamwambia nina sabuni yangu ya maji Shower gelly alishangaa kuona namimina kwenye maji naenda kuoga. Akaniingia bafuni akanusa harufu nzuri ya shower Gel acha abaki kushangaa na kisimu changu cha Nokia 2600 😃😃😃
Usiku nikala Wali na kuku, aliniwekea msosi mwingi sana lakini alishangaa nakula kidogo tu. Nikamwambia watu wa mjini hatuli sana kwa sababu hatufanyi kazi ngumu kama huku mikoani.
Wakati wa kulala akanitolea godoro pale sebuleni nilale maana ile nyumba vyumba vingine havikuwa hata na sakafu zaidi ya chumba wanacholala na sebule. Kanitolea godoro na shuka nilale pale, Chakushangaza na yeye akawa anataka alale pale pale kwenye godoro na sio chumbani kwake tena 🤣🤣🤣
At that time nilikuwa sina papara wala mambo mengi nikamuacha tu akalala, hee usiku akawa ananiwekea mitego maana alikuwa na kanga tu, mara miguu aweke hivi mara vile, mara mgongoni anawashwa nimkune, nikajikuta naanza kudinda na kipindi kile tulikuwa 2G nikasimamisha na yeye alikuwa anautaka aiseee.
Nilijikuta napiga shoo ya Kizembe na yule Shemeji , japo alikuwa hatosheki maana watu wa mikoani wana energy sana na hakukuwa na agano la kupiga shoo aisee yule Shemeji hakutosheka na Mimi at that time niko 20 nilishindwa kummaliza haja zake.
Kumekucha jamaa karudi alifurahia sana kuniona tukapiga sana story mpaka mchana akanisindikiza kwa kunipakiza kwenye baiskeli mpaka kijijini kwa Bibi.
Lakini Mke wake nilimla aisee japo shoo ilinishinda 😄😄😄😄
Dah
 
Enzi hizo alikuja Kwa Dada yake ambaye Mimi ni shemej yangu(mke wa kaka) walikuwa wamezinguana na Mme wake.

Hapo Kwa bro tulikuwa tuna Baki nae wawili tu na watoto 2 wadogo mmoja miaka 5 mwingine 3. Yale matani ya Shem Shem nikaona huyu mtoto anataka huyu. Akapigwa miti Tena sio mara akawa anakuja mara Kwa mara kumsalimia dada yake Hadi dada yake akajua akamwambia bro.

Tukio la pili nikiwa nimeo Nimetoka moshi na pisi Kali halafu siti moja.moshi ndo kwakwe anakuja kahama Kwa dada yake Nami nakuja kahama vilevile .safari yote akilala analala mapajani mwangu Nami ikawa inadinda.


Hapo moshi tulitoka saa7 mchana na hiyo gari ilikuwa inaenda mwanza hivyo walikuwa wanakuja kitu faurisha pale tinde.

Tulisafiri Mme wake wanaongea na sikia Kila kitu singida tukafika Hadi tunafika nzenga konda akasema abiria wa kahama shuleni mpande gari Ile pale muda ule kalala fofofo kachoka nikamwangalia tu Hadi gari ikaondoka zenga nikijua kabisa saivi hapo tinde hatuwezi pata gari pale ya kwenda kahama na hapo ndo nitaomba namna Gani tujipongeze na safari.

Kweli tukafika tinde nikamwamsha halafu nikamfaata konda nikamwabia gari ya kwenda Iko wapi? Akaanza kulalamika mbona tuliwaambia zenga kule nikamwambia tulikuwa tumelala nikamkazia kweli.

Muda huo Kuna wengine Jumla tulikuwa kama Saba tulio achwa.

Konda akanivuta akanitoa 15k maana Mimi ndo nilionekana namkazia sana.

Sasa baada ya kuachwa na gari hamna Kuna boda tu hapo nikamshauri twende loudge tukalale tu hamna namna nyingine tutapata usafiri kesho asbh tutatenda mi huku ni mwenyeji. Tukaenda loji za pale daaah😂😂😂😂

Kumbuka muda ushaenda na tumechoka sana. Na Mimi ndo anaitegemea Kwa Kila kitu muda huo.


Tumefika loudge mhudumu Wala hakuuliza mnataka vyumba vingapi nikalipia chumba kimoja halafu kipindi tunatoka nikarudi mapokezi chap kuchukua zana😹


Naye hakuuliza tukaonyeshwa chumba nikamwambia kaoge akasema nenda wewe muda siamini Nini kinaendelea hapa. Basi nia
kaoga nae akaenda oga akanikuta nimelala nachezea simu. Tukaanza story upya Tena. Muda nikamkumbatia na kumwambia maneno matamu.......tulilala Hadi saa4 maana alipo ingia loji tu simu akazi.a aliwataarifu tu nimelala tinde tumekoswa usafiri gari inaenda mwanza hii. Wakasema sawa hata hivyo umefika ni karibu tu.


Baada ya game nilijutia sana kumla mke wa jamaa na alionekana anampenda sana na kumwamini sana.

Nikatubu sasaivi nimeokoka ila ikitokea kama dhari Mimi ni nani hata niikatae neema Ile?.
 
Nilishawala wawili ,,,, ! Sitorudia, najutia sana ! Mke anauma mno, mtu anahudumia kila kitu wewe unakuja kuteleza bure tu ! Mwanzo nilipata shida sana kuwaacha, hasa huyo mmoja alikuwa king'ang'anizi sana, nilitumia akili nyingi nikamuacha tararibu !
 
Enzi hizo alikuja Kwa Dada yake ambaye Mimi ni shemej yangu(mke wa kaka) walikuwa wamezinguana na Mme wake.

Hapo Kwa bro tulikuwa tuna Baki nae wawili tu na watoto 2 wadogo mmoja miaka 5 mwingine 3. Yale matani ya Shem Shem nikaona huyu mtoto anataka huyu. Akapigwa miti Tena sio mara akawa anakuja mara Kwa mara kumsalimia dada yake Hadi dada yake akajua akamwambia bro.

Tukio la pili nikiwa nimeo Nimetoka moshi na pisi Kali halafu siti moja.moshi ndo kwakwe anakuja kahama Kwa dada yake Nami nakuja kahama vilevile .safari yote akilala analala mapajani mwangu Nami ikawa inadinda.


Hapo moshi tulitoka saa7 mchana na hiyo gari ilikuwa inaenda mwanza hivyo walikuwa wanakuja kitu faurisha pale tinde.

Tulisafiri Mme wake wanaongea na sikia Kila kitu singida tukafika Hadi tunafika nzenga konda akasema abiria wa kahama shuleni mpande gari Ile pale muda ule kalala fofofo kachoka nikamwangalia tu Hadi gari ikaondoka zenga nikijua kabisa saivi hapo tinde hatuwezi pata gari pale ya kwenda kahama na hapo ndo nitaomba namna Gani tujipongeze na safari.

Kweli tukafika tinde nikamwamsha halafu nikamfaata konda nikamwabia gari ya kwenda Iko wapi? Akaanza kulalamika mbona tuliwaambia zenga kule nikamwambia tulikuwa tumelala nikamkazia kweli.

Muda huo Kuna wengine Jumla tulikuwa kama Saba tulio achwa.

Konda akanivuta akanitoa 15k maana Mimi ndo nilionekana namkazia sana.

Sasa baada ya kuachwa na gari hamna Kuna boda tu hapo nikamshauri twende loudge tukalale tu hamna namna nyingine tutapata usafiri kesho asbh tutatenda mi huku ni mwenyeji. Tukaenda loji za pale daaah😂😂😂😂

Kumbuka muda ushaenda na tumechoka sana. Na Mimi ndo anaitegemea Kwa Kila kitu muda huo.


Tumefika loudge mhudumu Wala hakuuliza mnataka vyumba vingapi nikalipia chumba kimoja halafu kipindi tunatoka nikarudi mapokezi chap kuchukua zana😹


Naye hakuuliza tukaonyeshwa chumba nikamwambia kaoge akasema nenda wewe muda siamini Nini kinaendelea hapa. Basi nia
kaoga nae akaenda oga akanikuta nimelala nachezea simu. Tukaanza story upya Tena. Muda nikamkumbatia na kumwambia maneno matamu.......tulilala Hadi saa4 maana alipo ingia loji tu simu akazi.a aliwataarifu tu nimelala tinde tumekoswa usafiri gari inaenda mwanza hii. Wakasema sawa hata hivyo umefika ni karibu tu.


Baada ya game nilijutia sana kumla mke wa jamaa na alionekana anampenda sana na kumwamini sana.

Nikatubu sasaivi nimeokoka ila ikitokea kama dhari Mimi ni nani hata niikatae neema Ile?.
Mistari miwili ya nguvu naona umempa Ibilisi kombe . 🤣🤣🤣


Na mimi nakumbuka kuna safari moja nilikuwa naenda Kahama nilikaa seat moja na toto na Kibrushi aisee the rest was 🥳🥳🥳🥳

Nimekuwa Shehe sasa hivi sitaki tena mademu wa safarini tena.
 
Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
tatzo hapo ni nguvu za kiume zitafute otherwise utapigiwa sana
 
🤣🤣🤣
Longtime ago Nimetoka zangu Jijini kwenda kuwasalimia Bibi na Babu kufika wilayani pale nilikuwa nawasiliana na Jamaa yangu ambaye nilisoma naye primary miaka ile enzi za utawala wa BWM, kufika pale wilayani nikafikia kwa Baba zangu ambao ni wakaazi pale Wilayani. Jamaa alikuwa ni rafiki sana na nyakati nyingi tulikuwa tunawasiliana kwa simu nilivyofika pale Wilayani nikamcheki pia, akanielekeza nifike mpaka nyumbani kwake kwani tayari alikuwa ameshaoa at that time nilikuwa na age ya 20 tu na yeye alikuwa na 23 au 24. Kweli nikatoka kwa Baba yangu mdogo nikapanda daladala (baiskeli) mpaka kwake nilivyofika pale niko msafi nanukia Kijana kutoka Jijini. Nikauliza kwa fulani ndio wapi ? Nikaelekezwa na jamaa alikuwa ni maarufu kwa sababu alikuwa ameshajenga nyumba nzuri japo haikuwa ameifanyia finishing lakini ilikuwa ni yenye kuvutia sana. Jamaa alikuwa ni mpambanaji sana, kufika pale nikamkuta Mke wake ni kibinti kizuri hasaa Shombe shombe dizaini ya kina Shishi baby. Akanikaribisha tukasalimiana vizuri tu ilikuwa mida ya saa 9 alasiri. Nikamwambia mimi ni jamaa ya mume wake na mara ya mwisho tuliachana tukiwa darasa la pili mpaka sasa nikaribia miaka 11 hatujaonana. Nikampigia jamaa nikampata hewani akasema nimsubiri kitambo sana hatujaonana. Mke wake akaenda kukamata Jogoo na kuchinja, Sasa imefika mida ya saa 11 jioni jamaa akanicheki akaniambia mvua imenyesha sana uwezekano wa kurudi utakuwa ni mdogo sana maana maji yalikuwa yamejaa mtoni na kipindi hicho ule mto daraja lilikuwa halijajengwa na maji yalikuwa yana kasi sana. Kutoka nje na kuulizia eti ule mto X vipi unapitika ? Wakasema haiwezekani kupita maji ni mengi sana na hakuna daraja. Kumpigia jamaa hapatikani, ikabidi nibaki pale pale kwa jamaa. Shemeji akaniandalia maji tena ya moto nikaenda kuoga akawa ameenda kununua sabuni ya mgeni Giv nikamwambia nina sabuni yangu ya maji Shower gelly alishangaa kuona namimina kwenye maji naenda kuoga. Akaniingia bafuni akanusa harufu nzuri ya shower Gel acha abaki kushangaa na kisimu changu cha Nokia 2600 😃😃😃
Usiku nikala Wali na kuku, aliniwekea msosi mwingi sana lakini alishangaa nakula kidogo tu. Nikamwambia watu wa mjini hatuli sana kwa sababu hatufanyi kazi ngumu kama huku mikoani.
Wakati wa kulala akanitolea godoro pale sebuleni nilale maana ile nyumba vyumba vingine havikuwa hata na sakafu zaidi ya chumba wanacholala na sebule. Kanitolea godoro na shuka nilale pale, Chakushangaza na yeye akawa anataka alale pale pale kwenye godoro na sio chumbani kwake tena 🤣🤣🤣
At that time nilikuwa sina papara wala mambo mengi nikamuacha tu akalala, hee usiku akawa ananiwekea mitego maana alikuwa na kanga tu, mara miguu aweke hivi mara vile, mara mgongoni anawashwa nimkune, nikajikuta naanza kudinda na kipindi kile tulikuwa 2G nikasimamisha na yeye alikuwa anautaka aiseee.
Nilijikuta napiga shoo ya Kizembe na yule Shemeji , japo alikuwa hatosheki maana watu wa mikoani wana energy sana na hakukuwa na agano la kupiga shoo aisee yule Shemeji hakutosheka na Mimi at that time niko 20 nilishindwa kummaliza haja zake.
Kumekucha jamaa karudi alifurahia sana kuniona tukapiga sana story mpaka mchana akanisindikiza kwa kunipakiza kwenye baiskeli mpaka kijijini kwa Bibi.
Lakini Mke wake nilimla aisee japo shoo ilinishinda 😄😄😄😄
Ulifanya dhambi 3.
1. Kumlia rafiki mke tena kwake...hii dhambi mimi nimeishinda mara nyingi😂

2. Umemchafua mke wa mtu, matumizi mabaya ya nyege😂

3. Dhamimbi ya uasherati na zinaa zote kwa pamoja
 
Back
Top Bottom