Enzi hizo alikuja Kwa Dada yake ambaye Mimi ni shemej yangu(mke wa kaka) walikuwa wamezinguana na Mme wake.
Hapo Kwa bro tulikuwa tuna Baki nae wawili tu na watoto 2 wadogo mmoja miaka 5 mwingine 3. Yale matani ya Shem Shem nikaona huyu mtoto anataka huyu. Akapigwa miti Tena sio mara akawa anakuja mara Kwa mara kumsalimia dada yake Hadi dada yake akajua akamwambia bro.
Tukio la pili nikiwa nimeo Nimetoka moshi na pisi Kali halafu siti moja.moshi ndo kwakwe anakuja kahama Kwa dada yake Nami nakuja kahama vilevile .safari yote akilala analala mapajani mwangu Nami ikawa inadinda.
Hapo moshi tulitoka saa7 mchana na hiyo gari ilikuwa inaenda mwanza hivyo walikuwa wanakuja kitu faurisha pale tinde.
Tulisafiri Mme wake wanaongea na sikia Kila kitu singida tukafika Hadi tunafika nzenga konda akasema abiria wa kahama shuleni mpande gari Ile pale muda ule kalala fofofo kachoka nikamwangalia tu Hadi gari ikaondoka zenga nikijua kabisa saivi hapo tinde hatuwezi pata gari pale ya kwenda kahama na hapo ndo nitaomba namna Gani tujipongeze na safari.
Kweli tukafika tinde nikamwamsha halafu nikamfaata konda nikamwabia gari ya kwenda Iko wapi? Akaanza kulalamika mbona tuliwaambia zenga kule nikamwambia tulikuwa tumelala nikamkazia kweli.
Muda huo Kuna wengine Jumla tulikuwa kama Saba tulio achwa.
Konda akanivuta akanitoa 15k maana Mimi ndo nilionekana namkazia sana.
Sasa baada ya kuachwa na gari hamna Kuna boda tu hapo nikamshauri twende loudge tukalale tu hamna namna nyingine tutapata usafiri kesho asbh tutatenda mi huku ni mwenyeji. Tukaenda loji za pale daaah😂😂😂😂
Kumbuka muda ushaenda na tumechoka sana. Na Mimi ndo anaitegemea Kwa Kila kitu muda huo.
Tumefika loudge mhudumu Wala hakuuliza mnataka vyumba vingapi nikalipia chumba kimoja halafu kipindi tunatoka nikarudi mapokezi chap kuchukua zana😹
Naye hakuuliza tukaonyeshwa chumba nikamwambia kaoge akasema nenda wewe muda siamini Nini kinaendelea hapa. Basi nia
kaoga nae akaenda oga akanikuta nimelala nachezea simu. Tukaanza story upya Tena. Muda nikamkumbatia na kumwambia maneno matamu.......tulilala Hadi saa4 maana alipo ingia loji tu simu akazi.a aliwataarifu tu nimelala tinde tumekoswa usafiri gari inaenda mwanza hii. Wakasema sawa hata hivyo umefika ni karibu tu.
Baada ya game nilijutia sana kumla mke wa jamaa na alionekana anampenda sana na kumwamini sana.
Nikatubu sasaivi nimeokoka ila ikitokea kama dhari Mimi ni nani hata niikatae neema Ile?.