Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
Endelea kujidanganya eti ndoa ni muungano takatifu.

Daudi alikua anakula wake za watu hadi kuua waume zao na bado Mungu alisema ukimgusa Daudi ni sawa na kugusa mboni ya jicho lake.

Ibrahim alikua anakula house girl wake mchana kweupe na michepuko mingine bila shida yoyote na ndie mungu anaempenda.

Achana na kuhangaika na hadithi za kidini. Mke wa mtu akija kwako kutafta huduma ya kimwili mpe, wanawake wanapitia mengi inawezekana ndani mume hajampa mwezi ama hata miezi.
 
Taifa hili Lina kazi kubwa sana isiyo na faida yoyote hata!!!
Wala usifikilie mpaka huko.
-Kuna senarios,za matukio ya kweli yatakusaidia kujua uharisia wa ulimwengu uliokuzunguuka.
-Haitakaa itokee,wenzio waishi kama unavyoishi,unavyofikilia au unavyotaka. Kuna wakati wewe utaona umekaa pazuri,kumbe wenzio wanaona umepotea njia.
-kuna chai pia. Lazima ziwepo,

Kuna mengi sana. Unaloona upuuzi,kuna mwingine ndo linamfanya aione siku au aweke chochote mdomoni. Unadhani kina min -me na raraa reree ni wajinga kulike kila post humu?
 
Endelea kujifanganya eti ndoa ni muungano takatifu.

Daudi alikua anakula wake za watu hadi kuua waume zao na bado Mungu alisema ukimgusa Daudi ni sawa na kugusa mboni ya jicho lake.

Ibrahim alikua anakula house girl wake mchana kweupe na michepuko mingine bila shida yoyote na ndie mungu anaempenda.

Achana na kuhangaika na hadithi za kidini.
Ni mtazamo binafsi ndugu. Hukushurtishwa kuamini ninachoamini kama vile ambavyo sitohoji unachoamini wewe.
Wewe fanya kilicho sahihi kwako mzee wangu, wala sio ligi ya ubishani juu ya nani yupo sahihi ama batili.

Uwe na jioni yenye amani na furaha tele.
 
Wake za watu wanapenda sana pesa, na ndio hicho kinawaponza, yaani ukionyesha dalili za kumsaidia kumtoa Mara 50,mara 10,kwisha habari yake,au vizawadi tu kama chupi, tight.. Umemaliza.. Hakuna watu rahisi kuwala kama wake za watu, hiyo dhambi nilishaacha sikuhizi... 😀😀😀
 
Alinitaka akiwa Kwenye ndoaa ,baada ya mwaka alivyoachikaa ndio nikawa naponea hapo mpk alipokuja kuolewa Tena na yule yule aliyemwachaa ....

Waislamu ktk hili cjui imekaaje unamwacha mkee na talaka tatu alafu baadae unakuja kumuona tenaa..

Nilifaidi aiseeee
 
Wala usifikilie mpaka huko.
-Kuna senarios,za matukio ya kweli yatakusaidia kujua uharisia wa ulimwengu uliokuzunguuka.
-Haitakaa itokee,wenzio waishi kama unavyoishi,unavyofikilia au unavyotaka. Kuna wakati wewe utaona umekaa pazuri,kumbe wenzio wanaona umepotea njia.
-kuna chai pia. Lazima ziwepo,

Kuna mengi sana. Unaloona upuuzi,kuna mwingine ndo linamfanya aione siku au aweke chochote mdomoni. Unadhani kina min -me na raraa reree ni wajinga kulike kila post humu?
Mke wa mtu akijileta.....nachukua naweka waaaaaa.....
 
Mwaka jana Kuna demu alikuwa anaishi mtaani kwetu ila mume wake alikuwa Hamjali kivile ila mahitaji muhimu kama chakula, mavazi na Mahitaji yake anampa.

Ila alikuwa anamdharau sana, analewa sana akifika home haongei nae wala hampi muda kumsikiliza.

Demu nilikutana nae kwenye kiduka fulani hivi, kuna story nilikuwa nawasimulia akapenda maongezi yangu akawa kila akikutana na mimi ananikonyeza na kujichekesha, Siku moja akanipa namba ayke ikawa ndio daily ananisimulia mambo yake ya ndani mimi nikawa namtia Moyo tu.

Siku nikamtania kiutani anipe Tunda akakubali ila tukapime kwanza, hapo ndio ukawa mwanzo wa kumla yule demu, jamaa ake alikuwa anaweza kulala nje huko hata siku tatu mimi kazi yangu ilikuwa ni kumkaza.

Kuna biashara alikuwa anafanya hivyo akiaga anaenda kuchukua bidhaa sokoni anapitia kwanza maskani anakula chuma ya kutosha.

Nimeachana nae baada ya kuhamia Mkoa mwingine ila aliniahidi atanitembelea mwezi ujao niendeleze kazi nzuri

Naishukuru sana serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan kwa sababu hadi leo sijakamatwa wala mume wake hajashtuka, Hakika serikali inafanya kazi kubwa sana.
 
Hizi mambo za kulana bna..

Hivi ni mafanikio makubwa sana kwa Me kumla Ke??
Mke wa mtu si ana mbunye kama Ke wengine tu??
Nae ni mwanamke, tena aliegegedwa mara nyingi (kwa uhakika zaidi)..

Unagegeda mbunye ambayo jana yake au asubuhi ni hakika imechapwa.
Kula mke wa mtu sio ufahari, ni ufala wakuu.
 
Mwaka jana Kuna demu alikuwa anaishi mtaani kwetu ila mume wake alikuwa Hamjali kivile ila mahitaji muhimu kama chakula, mavazi na Mahitaji yake anampa.

Ila alikuwa anamdharau sana, analewa sana akifika home haongei nae wala hampi muda kumsikiliza.

Demu nilikutana nae kwenye kiduka fulani hivi, kuna story nilikuwa nawasimulia akapenda maongezi yangu akawa kila akikutana na mimi ananikonyeza na kujichekesha, Siku moja akanipa namba ayke ikawa ndio daily ananisimulia mambo yake ya ndani mimi nikawa namtia Moyo tu.

Siku nikamtania kiutani anipe Tunda akakubali ila tukapime kwanza, hapo ndio ukawa mwanzo wa kumla yule demu, jamaa ake alikuwa anaweza kulala nje huko hata siku tatu mimi kazi yangu ilikuwa ni kumkaza.

Kuna biashara alikuwa anafanya hivyo akiaga anaenda kuchukua bidhaa sokoni anapitia kwanza maskani anakula chuma ya kutosha.

Nimeachana nae baada ya kuhamia Mkoa mwingine ila aliniahidi atanitembelea mwezi ujao niendeleze kazi nzuri

Naishukuru sana serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan kwa sababu hadi leo sijakamatwa wala mume wake hajashtuka, Hakika serikali inafanya kazi kubwa sana.
Dah, yani mwisho wa stori yako,nimecheka mpaka basi. Una phd ya ujinga🤣🤣🤣🤣
 
Endelea kujidanganya eti ndoa ni muungano takatifu.

Daudi alikua anakula wake za watu hadi kuua waume zao na bado Mungu alisema ukimgusa Daudi ni sawa na kugusa mboni ya jicho lake.

Ibrahim alikua anakula house girl wake mchana kweupe na michepuko mingine bila shida yoyote na ndie mungu anaempenda.

Achana na kuhangaika na hadithi za kidini. Mke wa mtu akija kwako kutafta huduma ya kimwili mpe, wanawake wanapitia mengi inawezekana ndani mume hajampa mwezi ama hata miezi.
Kumbuka Mungu alimlipa Daudi kwa wanawake zake kumi kuliwa na mwanaume mmoja aitwaye Absalomu kwa siku moja.

Yaani ukila mke wa mtu asiye na hatia, ujue wa kwako ataliwa na hapo Mungu analipa kisasi kwa ajili ya mwanaume ambaye si msaliti.
 
Back
Top Bottom