Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni ya nn kaka wakati na wakaguzi wa hzo leseni watakuwa mbinguni.Kufanya nini huko? Mi siendi na sitaki. Mkienda,baa zote zitabaki wazi,mifugo full. Magari yataachwa,vituo vya mafuta vitakuwepo,hotels nzuri zitabaki wazi. Kuna vidada vinajua huko vikienda havipokelewi,tutabaki wote tule raha. Ningekuwa na leseni ya kuendesha ndege,ningezunguuka dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hii inatakiwa ikae kule kwa rickboy.........Story nyingine bwana eh,uzuri jf hatufahamiani.
Siku moja nimepanga jiji moja,mi naishi nyumba kubwa,nje kukiwa na wapangaji wengine 3. Kila mmoja alikuwa na mke wake. Jama mmoja alikuwa na mke,mrembo tu,ile sogea tuishi. Walikuwa na mtoto mmoja. Kumbe mwnamke alimficha mmewe kuw alizaa watoto wengine(2). Acha simu ipigwe na atarifiwe kuwa watoto wa mkewe waekuja kwa bibi yao. Ugomvi ukaanza hivyo. Kila aiku,ilikuwa ni kipigo cha ukweli. Mshikaji nae alikuwa mlevi kishenzi. Sasa,kuingilia ndoa za watu,ikawa ngumu. Leo jama ukimshauli,atashaulika,ila baada ya siku mbili,balaa.
Basi,siku moja bibie si akawa amepigwa jana yake! Akaja kushtaki na kwamba mwili mzima anahisi maumivu. Hapo kakaa kwenye viti vya kawaida sebureni,kawekewa kigodolo kidogo,akafanyiwa massage. Kumbe nae,hapo hapo anasikia raha. Anzia mikono,upande wa juu wote(kasoro kifuani),mgongoni,miguuni,hapo bado kajivalia gauni lake. Kwa chini,mikono ikapandishwa kuyaminya mapaja na makalio,hapo kichwa cha 2 kimechachamaa. Huku bado kalala kifudi fudi,miguu ilitandazwa,nae hakuleta ugumu,kitu kikazamishwa. Aliitikia kama vile alikuwa analipia huduma aliopewa. Muda kidogo kageuka,hadi zoezi likaisha. Iliishia hapo mchezo haukurudiwa.
Ungeongezea kuwa ni watamu kinoma(mbunye ya wizi)🤣🤣🤣🤣🤣Wake za watu wanapenda sana pesa, na ndio hicho kinawaponza, yaani ukionyesha dalili za kumsaidia kumtoa Mara 50,mara 10,kwisha habari yake,au vizawadi tu kama chupi, tight.. Umemaliza.. Hakuna watu rahisi kuwala kama wake za watu, hiyo dhambi nilishaacha sikuhizi... 😀😀😀
Hapa najaribu kusema hivi,ningekuwa najua kuendesha ndege,ningezunguuka dunia nzima. Kwa vile naweza vigali na vibajaji,ntazunguuka tu mikoaniLeseni ya nn kaka wakati na wakaguzi wa hzo leseni watakuwa mbinguni.
vijana ndo tunapofeli hapo aseeMwaka jana Kuna demu alikuwa anaishi mtaani kwetu ila mume wake alikuwa Hamjali kivile ila mahitaji muhimu kama chakula, mavazi na Mahitaji yake anampa.
Ila alikuwa anamdharau sana, analewa sana akifika home haongei nae wala hampi muda kumsikiliza.
Demu nilikutana nae kwenye kiduka fulani hivi, kuna story nilikuwa nawasimulia akapenda maongezi yangu akawa kila akikutana na mimi ananikonyeza na kujichekesha, Siku moja akanipa namba ayke ikawa ndio daily ananisimulia mambo yake ya ndani mimi nikawa namtia Moyo tu.
Siku nikamtania kiutani anipe Tunda akakubali ila tukapime kwanza, hapo ndio ukawa mwanzo wa kumla yule demu, jamaa ake alikuwa anaweza kulala nje huko hata siku tatu mimi kazi yangu ilikuwa ni kumkaza.
Kuna biashara alikuwa anafanya hivyo akiaga anaenda kuchukua bidhaa sokoni anapitia kwanza maskani anakula chuma ya kutosha.
Nimeachana nae baada ya kuhamia Mkoa mwingine ila aliniahidi atanitembelea mwezi ujao niendeleze kazi nzuri
Naishukuru sana serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan kwa sababu hadi leo sijakamatwa wala mume wake hajashtuka, Hakika serikali inafanya kazi kubwa sana.
Hao haooooo. Unakuta nyumbani wana kila kitu,lakini tamaa ya vitu vidogo vidogo haikosi. Mara vocha,mara juice,mara out na marafiki,ili awatambie ana buzi. Unategemea nini hapo? Na siku hizi ukila vya watu,na vyako huchakazwa. Sema tu wanaume walio wengi wangejenga ujasiri wa kuchukulia kawaida zikivuja.Mkeo kama ni mnywa pombe ama mpenda vihela vidogo vidogo au anapelekeshwa na vitu vidogo vidogo KULIWA WALA SIO JAMBO GENI na PIA TEGEMEA KUMEGEWA labda usijue tu.
Usisahau na wengine,hawalidhiki. Af kuna kitu mnakwepa. Unaoa mtu keshapitiwa na njemba zaidi ya 50. Wewe ukiweka,anaanza kulinganisha na furani. Unategemea nini hapo?!vijana ndo tunapofeli hapo asee
umeoa kwahiari afu unamwacha tu mkeo humpi chochote
afu watu wa dizaini hiyo wakichapiwa wake zao wanakuwa mbogo
Ebu tupe kisa chako. Si na we mke wa mtu😂😂😂😂😂Lihuni likubwa wewe!Mbinguni utapaona kwenye filamu tu.Huendi ng'oo!
Jiulize na wewe. Kizazi cha sasa,kimeona mengi na kimethubutu,na kikaweza.ila nyuzi zinazohusu uasherati huwa zina bamba kinoma
cheki kama hapa
tungesema tujadili kilimo cha matikiti tungekuwa na wakina chasa tu
Nilidhani ni mimi tu ndiye niko hivi,kumbe tuko wengi.Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
Sio mwanaume tu ni mtoto wakeKumbuka Mungu alimlipa Daudi kwa wanawake zake kumi kuliwa na mwanaume mmoja aitwaye Absalomu kwa siku moja.
Yaani ukila mke wa mtu asiye na hatia, ujue wa kwako ataliwa na hapo Mungu analipa kisasi kwa ajili ya mwanaume ambaye si msaliti.
Hivi unaanzaje? Ukisikia wanaofumaniwa wanachofanyiwa, kwangu hata damu kuzunguka haiwezi. Lakini kuna watu wanaendelea na mchezo huu, hawaogopi! Bodaboda mmoja alinisimulia hivi karibu kwamba "alishuhudia aliyefumaniwa (mwanaume) akifanyiwa kitu mbaya." Alisema wapambe wa mwenye mke walimtonya kwamba mzigo wake unalika gesti fulani. Alichokifanya mwenye mke (kwa maelezo ya bodaboda) alikwenda kutafuta wahuni wawili waliopinda akaongozana nao hadi kwenye hiyo gesti. Walipofika, wakawaweka chini ya ulinzi hao waliofumaniwa. Hawa wahuni wawili waliopinda wakamlawiti yule mwanaume mbele ya yule mtu wake aliyefumaniwa naye, alianza mmoja, kisha mwingine. Akasema walipomaliza wakachukua pikipiki wakampakia hadi nyumbani kwake. Walipofika, walimkuta mkewe huyo bwana wakamwambia mumeo tumemfumania na mke wa mtu na sisi tumemlawiti na tulipomaliza, tumeona tumlete hadi nyumbani, na asirudie tena. Kisha wakaondoka. Aliyenisimulia akasema, ingawa na yeye alikuwa akichepuka chepuka na wake za watu, baada ya tukio hilo anafikiria aachane na mchezo huo kabisa. Imagine! Sasa ukienda na mke wa mtu na uka'recall' tukio kama hilo, damu itazunguka vizuri kweli?Kwenye zama hizi za uzinzi,na jf iliyosaidia kuondoa stress,kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.
Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu,ilikuwaje?!
Fiction tu hizi.View attachment 3059806
Mwamba anasubiri watu wake watoe ushuhuda
Kwa hiyo,ukaona wamemkomoa! Si ndio? Mwanaume mjinga,hawezi kucontrol hisia zake.Hivi unaanzaje? Ukisikia wanaofumaniwa wanachofanyiwa, kwangu hata damu kuzunguka haiwezi. Lakini kuna watu wanaendelea na mchezo huu, hawaogopi! Bodaboda mmoja alinisimulia hivi karibu kwamba "alishuhudia aliyefumaniwa (mwanaume) akifanyiwa kitu mbaya." Alisema wapambe wa mwenye mke walimtonya kwamba mzigo wake unalika gesti fulani. Alichokifanya mwenye mke (kwa maelezo ya bodaboda) alikwenda kutafuta wahuni wawili waliopinda akaongozana nao hadi kwenye hiyo gesti. Walipofika, wakawaweka chini ya ulinzi hao waliofumaniwa. Hawa wahuni wawili waliopinda wakamlawiti yule mwanaume mbele ya yule mtu wake aliyefumaniwa naye, alianza mmoja, kisha mwingine. Akasema walipomaliza wakachukua pikipiki wakampakia hadi nyumbani kwake. Walipofika, walimkuta mkewe huyo bwana wakamwambia mumeo tumemfumania na mke wa mtu na sisi tumemlawiti na tulipomaliza, tumeona tumlete hadi nyumbani, na asirudie tena. Kisha wakaondoka. Aliyenisimulia akasema, ingawa na yeye alikuwa akichepuka chepuka na wake za watu, baada ya tukio hilo anafikiria aachane na mchezo huo labisa. Imagine! Sasa ukienda na mke wa mtu na uka'recall' tukio kama hilo, damu itazunguka vizuri kweli?
Bora wewe. Cha kufanya,we kubali kwamba ujue,usijue,lazima ataliwa tu. Kilichopo,ni wewe kujiweka katika nafasi ambayo ukijua amegegedwa,utachukulia poa. Ni ngumu,lakini huna namna nyingine. Vinginevyo,kila siku utakuwa unawabadilisha. Kama mzinzi lakini ana hekima na busara? Ishi nae. Kama umeokota,komba tu.Wenye wake tunaumia sana kuzisoma nyuzi kama hizi. Ila sasa tutafanyaje? Waleni kistaarabu basi Wakuu.