Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?

Ukiona Mke wa mtu anasex na mtu mwingine fahamu kwamba ni mwanamke mwenyewe ameamua kufanya hivyo, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Ndo jiulize eti mtu anaenda kuleta vurugu gesti. Unadhalilika,hela unatoa wahuni wanakula,mwanamke anatoloka anaenda kumuuguza mtu wake mliomfeshehesha,lakini hamuachi. Wangapi wanaishi u sababu wamezaliana na hawana mapenzi? Hunipendi,poa. Kama nguvu ya kuachana huna,kubali matokeo siku zisonge.
Wengine ataaga anaenda kumuona mgonjwa,kumbe anaenda kutibu genye. Analeta na wewe unapalamia. Waliolewa wa zamani,siyo wa siku hizi.
 
Kwa hiyo,ukaona wamemkomoa! Si ndio? Mwanaume mjinga,hawezi kucontrol hisia zake.
Mtu hujamkuta analia nyumbani kwako,aseme labda nimebakwa. Haya,kajipeleka mwenyewe,hujui wamekubaliana nini. Kosa la mwanaume hapo ni lipi? Kosa ni la mwanamke. Hujasema labda walipofumaniwa mwanamke alijibu nini. Mbele za watu akisema anatafuta alichokosa kwako? Hivi,unadhani miaka kama 100 huko nyuma fumanizi hazikuwepo? Ulizia watu wazima walitatua vipi changamoto hizo. Fedheha inaenda kwa mwenye kumegewa wala si kwa mmegaji kuu.

Ulimwengu wa sasa una yake. Na kwanza elewa. Mwanamke aliyewajua wanaume kabla ya kuhifadhiwa,hata umpe nini,atachepuka hata na chizi.
Na kumbuka,kuna wengine hutafuta mbinu za kuachwa kwa mtindo huo,baada ya kujaribu kila wanaloliweza na kugandwa na wenzao. Mwanaume kamili eti unaenda kumfumania mkeo. Huku kaipeleka mwenyewe?!
Mhu! Kabla hayajakukuta utasema hivyo, ukipatikana ndiyo utapata majibu ya hayo maswali yako unayouliza. Hujawahi kusikia wimbo unaosema "mapenzi yanaua?" Kuna clip moja X niliiona wiki iliyopita. Nadhani hilo tukio lilitokea Kenya +ukisikia accent. Dereva wa Uber alifumaniwa na mke wa mtu. Akala kichapo kwanza na makofi/ngumi maana midomo ilikuwa imevimba na akadungwa mikono. Halafu akaletewa chakula ale kwanza kabla ya round nyingine ya kichapo. Mwenye akawa anamuuliza alishalala naye mara ngapi, yeye akasema mara moja tu...Inaogopesha! Mimi siwezi kumwacha mke wangu nihangaike na mke wa mtu mwingine ambaye hata hujui ana maradhi gani ya kuambukiza!
 
Mhu! Kabla hayajakukuta utasema hivyo, ukipatikana ndiyo utapata majibu ya hayo maswali yako unayouliza. Hujawahi kusikia wimbo unaosema "mapenzi yanaua?" Kuna clip moja X niliiona wiki iliyopita. Nadhani hilo tukio lilitokea Kenya +ukisikia accent. Dereva wa Uber alifumaniwa na mke wa mtu. Akala kichapo kwanza na makofi/ngumi maana midomo ilikuwa imevimba na akadungwa mikono. Halafu akaletewa chakula ale kwanza kabla ya round nyingine ya kichapo. Mwenye akawa anamuuliza alishalala naye mara ngapi, yeye akasema mara moja tu...Inaogopesha! Mimi siwezi kumwacha mke wangu nihangaike na mke wa mtu mwingine ambaye hata hujui ana maradhi gani ya kuambukiza!
Haya,kwani wanaogonga wengine si masela tu. Kwanza,kama upo kamili,unatakiwa ujichunguze na ujue chanzo cha yeye kuchepuka ni nini. Kama una mapungufu,jirekkebishe. Kama yapo nje ya uwezo wako,acha aliwe. Haya,mmatukio haya umeyaona. Unadhani wanaowala hawajawahi shuhudia mengine zaidi ya hilo?

Acha nikupe kisa kilichonikuta mie: siku moja,kuna jimama lina watoto watatu,mmoja mkubwa alikuwa na kama 12 years. Halikuwa na baba watoto. Siku ya kufa nyani,miti yote ndo kama unavosikiaga. Si likawa na jipu? Kwenye paja.. akamtuma mtoto huyo kutafuta soda umbali wa kilometa kama 2 hivi. Kumbe dogo sijui machale yakamcheza,hakufika. Sasa ile kuonyeshwa jipu,sebuleni,tupo wawili,mkono ukapanda mpaka kivulini,fasta,mlingoti ukatembea. Si anajua mtoto amemtuma atakuwa hata hajafika! Mlango umeegeshwa tu. Mara paaaap. Litoto hilo hapo,na sukumawiki inachumwa. Mzeee! Sema tu yasikie kwa mtu. Ingelikuwa ni mwenye mali,kama hajitambui,hakika unakoma.
 
Leseni ya nn kaka wakati na wakaguzi wa hzo leseni watakuwa mbinguni.
Hivi,mlidanganywa na nani? Hizi propaganda jamani.


Siku moja nilipita sehemu moja hivi,,kwenye ofisi za Voda. Jama anawachimba mikwale wale madogo wanaotembeza laini mtaani kwamba hawafanyi kazi,ohh mara hawajitumi ndo maana hawapati hela. Unajiuliza,mpaka laini ngapi,ili apate hela ya maana! Wanamfanyia kazi,yeye analipwa,af bado anawaponda.

Sasa na hilo,mtu anakusanya sadaka zake anakula na familia yake,af anaanza kuwadanganya wenzake kwamba wataenda mbinguni. Jamani.
 
Nina moyo wa kukinai hata nikijua tu demu flani anamahusiano na flani huwa hisia juu yake zinakua hazipo tena, hata nikiwa na mahusiano na mwanamke yeyote nikiona kuna dalili ya mtu mwingine kuwepo huwa nakaa pembeni mwenyewe nasubiri tu kupata uhakika ili ni sign-out mazima mi ni mzee wa kutoa ushindi kwa watu wengine kwenye mambo ya mahusiano sitaki kuvuruga mahusiano ya watu na yangu yakivurugwa huwa natoka wa kwanza.
Nikijua demu kaliwa na mtu fulani siwezi kumla kabisa.

Nina kinyaa hatari
 
Haya,kwani wanaogonga wengine si masela tu. Kwanza,kama upo kamili,unatakiwa ujichunguze na ujue chanzo cha yeye kuchepuka ni nini. Kama una mapungufu,jirekkebishe. Kama yapo nje ya uwezo wako,acha aliwe. Haya,mmatukio haya umeyaona. Unadhani wanaowala hawajawahi shuhudia mengine zaidi ya hilo?

Acha nikupe kisa kilichonikuta mie: siku moja,kuna jimama lina watoto watatu,mmoja mkubwa alikuwa na kama 12 years. Halikuwa na baba watoto. Siku ya kufa nyani,miti yote ndo kama unavosikiaga. Si likawa na jipu? Kwenye paja.. akamtuma mtoto huyo kutafuta soda umbali wa kilometa kama 2 hivi. Kumbe dogo sijui machale yakamcheza,hakufika. Sasa ile kuonyeshwa jipu,sebuleni,tupo wawili,mkono ukapanda mpaka kivulini,fasta,mlingoti ukatembea. Si anajua mtoto amemtuma atakuwa hata hajafika! Mlango umeegeshwa tu. Mara paaaap. Litoto hilo hapo,na sukumawiki inachumwa. Mzeee! Sema tu yasikie kwa mtu. Ingelikuwa ni mwenye mali,kama hajitambui,hakika unakoma.
Kumbe unajua, eh! Kuna watu wengine wanakata chombo kabisa, wanakulazimisha utafune na umalize na kisha wanakuachia uende na kipande kilichobaki. Sasa faida gani? Heri uridhike tu na mkeo bro, acha kuchepuka kabisa!
 
Endelea kujidanganya eti ndoa ni muungano takatifu.

Daudi alikua anakula wake za watu hadi kuua waume zao na bado Mungu alisema ukimgusa Daudi ni sawa na kugusa mboni ya jicho lake.

Ibrahim alikua anakula house girl wake mchana kweupe na michepuko mingine bila shida yoyote na ndie mungu anaempenda.

Achana na kuhangaika na hadithi za kidini. Mke wa mtu akija kwako kutafta huduma ya kimwili mpe, wanawake wanapitia mengi inawezekana ndani mume hajampa mwezi ama hata miezi.
Cha muhimu nisikujue tu... mke anauma nyie.
 
Kutembea na mke wa mtu ikiwa unajua ni mke wa mtu hiyo sio tamaa bali ubaradhuli usiokuwa na kifani.

Na mwanamke anaeruhusu kulalwa na mwanaume mwingine ikiwa yeye ni mke wa mtu basi huyo amepoteza sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ndoa ni muungano takatifu.
Hii unayosimulia ni ngano zilizozoeleka. Kina Daudi, Suleman na samsoni walikuwa wanagonga wake za watu sana lakini bado Mungu alikuwa anawatokea kupitia manabii na mitume. Sembuse sisi mitume yetu ni kina mwamposa na kiboko ya wachawi.

Allah amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS.
 
Sasa wliojazwa ujinga na kweli wakajaa,eti dhambi,mara hili na lile,mara pepo na mbinguni. Alaaa
images (21).jpeg

sasa we imagine, wakoloni na watumwa wote walikuwa wanamwabudu mungu mmoja, sasa sijui nani sala/swala zake zilisikilizwa
 
Mlaumu mkeo, sijambaka, yule ni mtu mzima mwenye akili timamu, k ni yake so akiamua kumpa mtu mwingine mlaumu yeye, mimi ni mlaji, chakula kikiwekwa mbele yangu nakitafuna.
Kama haujui ni mke wa mtu huwezi kuwa na kosa ila kama unajua basi nawewe uko na makosa... wanawake kuna muda wanaongozwa na hisia kuliko akili.
 
Back
Top Bottom