Ilikuwaje ukamuacha yule mpenzi wako uliyempenda sana?

Ilikuwaje ukamuacha yule mpenzi wako uliyempenda sana?

Poleni sana wahanga!!
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa.
Songeni mbele km injili
 
Ukiachana na kuniambia na kibamia pia alikuwa ananisakama kwa ufupi wangu!!
Nikaona bora ni hamie upareni japo wajomba zangu ni wasambaza😳😳😳😳😳😳
 
Binafsi utoto ndio lilikuwa tatzo la kuachana na yule kiumbe alikunywa sumu zaidi ya mara 2 kwa kumletea habar za kuachna ilipokuja zamu ya yeye kuniacha mimi hakugeuka tena nyuma na ndio wakati niligundua nilikuwa na mapenzi makubwa na yule binti kwani kila kitu kwangu kwa wakati huo hakikua na maana
 
Wakuu kwema?

Kila mtu amewahi kupitia kwenye mahusiano. Kuna kipindi mtu anakuwa kwenye mahusiano yenye furaha isiyo kifani hadi anaona kama dunia yote ni ya kwake. Ila mambo yanapogeuka, anajikuta kwenye stress nzito hadi anatamani dunia imdondokee afe tu.

Sasa hebu tushare inakuwaje wapenzi wale waliokuwa wakipendana na kwa dhati, wanatokea kuachana vibaya vibaya, sababu hasa huwa nini?

Binafsi, nilimuacha kwa sababu alikuwa hatulii, ana tamaa ya kupitiliza, pesa, ngono, maisha mazuri. Nikaona ataniletea stress mbeleni. Wewe je?
Mm nimeachana nae sabab alikosa uvumulivu wa muda mfupi na akaamua kutoa ujauzito wangu binti yule,
 
Kabra hajapata kazi alikua anaonesha kunipenda sana, na nlkua namtimizia mahitaji yake yote, lakn baada ya kupata kazi akaota mabawa, akawa haniskilizi, nliamua kuachana nae kmia kmia bira kumweleza, nkamuweka kando , mpaka sasa maisha yanasonga, now days anapiga sana simu sjui ni nin kimemsibu huko aliko.[emoji29]
 
Back
Top Bottom