Nimekuwa mshabiki wa Simba kwa muda mrefu.
Chanzo ni kwamba; jirani na nyumba niliyokuwa nikiishi mkoani Mwanza walikuwa wakifika wachezaji wa Yangu akina Abeid Mziba na Omary Hussein. Watoto wote ikawa ni Yanga kasoro baba yangu. Nikaamua kujiunga naye na kuwa mwekundu.
Nini kilikufanya uwe shabiki wa Yanga au Simba?
Chanzo ni kwamba; jirani na nyumba niliyokuwa nikiishi mkoani Mwanza walikuwa wakifika wachezaji wa Yangu akina Abeid Mziba na Omary Hussein. Watoto wote ikawa ni Yanga kasoro baba yangu. Nikaamua kujiunga naye na kuwa mwekundu.
Nini kilikufanya uwe shabiki wa Yanga au Simba?