Ilipofika CHADEMA, CCM itafika miaka 100 ijayo

Ilipofika CHADEMA, CCM itafika miaka 100 ijayo

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kutoambiana ukweli No Mara Waa!

Aisee CHADEMA ni chachandu fulani hivi ktk siasa za sasa za Nchi. Na LISSU, LISSU, LISSU...

TUVUSHE.

CCM haiji fika hizi level mlizofika.

Mbowe Staafu kwa heshima.
 
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kuambiana ukweli No Mara Waa...

Aisee CHADEMA ni chachandu fulani hivi ktk siasa za sasa za Nchi. Na LISSU, LISSU, LISSU...

TUVUSHE.

CCM haiji fika hizi level mlizofika.

Mbowe Staafu kwa heshima.
CCM wao mambo ya rais kumtokea makamu kwenye pyjama (kikoi) ndio akili zao zilipofika.
 
CHADEMA ni kama ka sehemu fulani hivi ka Kenya..

Truth
Courage
Patriotic
 
We Subiri tu Kikwete aondoke utakuja kuniambia,uongozi wa CCM itavamiwa kama fito
 
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kuambiana ukweli No Mara Waa...

Aisee CHADEMA ni chachandu fulani hivi ktk siasa za sasa za Nchi. Na LISSU, LISSU, LISSU...

TUVUSHE.

CCM haiji fika hizi level mlizofika.

Mbowe Staafu kwa heshima.
Mshampata Makamu Mwenyekiti au ndio zidumu fikra za mwenyekiti
 
Kwani Mbowe ana shida gani!?
Kama anataka hela tumchangie tu ila aende..

We have a vision.. a mission.. mbowe ...mboweee. mboweee... Pumzikaaa
 
Mbowe tupe Acc. Tukuchangie pesa.

Muache Lissu. Just 5 yrs.. tumpime ..kwani shida iko wapiiii ....kmmmkk
 
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kuambiana ukweli No Mara Waa...

Aisee CHADEMA ni chachandu fulani hivi ktk siasa za sasa za Nchi. Na LISSU, LISSU, LISSU...

TUVUSHE.

CCM haiji fika hizi level mlizofika.

Mbowe Staafu kwa heshima.
Bangi zako zitaisha tu na kesho utalewa tena, na keshokutwa utalewa mpaka ufukarike ila CCM bado ipo ipo sana kukuongozeni, upende uchukie, utukane, utulie. Mwisho wa siku mpuuzi mkubwa anabakia huyo unayemshabikia. Maviii
 
Bangi zako zitaisha tu na kesho utalewa tena, na keshokutwa utalewa mpaka ufukarike ila CCM bado ipo ipo sana kukuongozeni, upende uchukie, utukane, utulie. Mwisho wa siku mpuuzi mkubwa anabakia huyo unayemshabikia. Maviii
WTF..!!!!
🚮🚮🚮🚮
 
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kuambiana ukweli No Mara Waa...

Aisee CHADEMA ni chachandu fulani hivi ktk siasa za sasa za Nchi. Na LISSU, LISSU, LISSU...

TUVUSHE.

CCM haiji fika hizi level mlizofika.

Mbowe Staafu kwa heshima.
Subiri kuanzia mwezi wa 7 utapata picha kwa uzuri yaliyomo ndani ya CCM ila jua tu uhai wa CCM umeshikiliwa na vyombo vya dola na ili kukujibu hilo ndio maana wanaweka kura bandia ,watu hawatoki kupiga kura na hawana muda huo kabisa
 
Subiri kuanzia mwezi wa 7 utapata picha kwa uzuri yaliyomo ndani ya CCM ila jua tu uhai wa CCM umeshikiliwa na vyombo vya dola na ili kukujibu hilo ndio maana wanaweka kura bandia ,watu hawatoki kupiga kura na hawana muda huo kabisa
Siongezi.
Ila
Ila
Ila....

😷😷😷
 
Back
Top Bottom