Ilivyo ngumu kumlinda mateka!

hapo nami namwambia amwondoe Shika kwenye listi
That's not fair....! Hii ni kupangiana cha kupost sasa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]
 
Brother uko vizur sana.
Ni MTU unaeyajua mengi ya dunia yetu hii, in&out

Umebarikiwa maarifa aisee

Nakufatiliaga sana, Unajua kupangilia point zako.
 
That's not fair....! Hii ni kupangiana cha kupost sasa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]
una uhakika Shika alitekwa?
una uthibitisho zaidi ya bla blaa zake ambazo zote ni uongo?
 
Back up ya technolojia ile au hii? ....hivi Mshana umeshindwa kweli kusaidia issue hii kwa teknolojia ile kujua MO yupo wapi? Wengine MO anahusika sana katika shughuli zetu za kila siku za kutupatia ugali,embu fanya mambo kaka!!
Soma hiyo reply hapo juu
[emoji23][emoji23][emoji23]backup zote zote
 
Waandishi wa kimataifa wengi wana vijimafunzo ya kishushushu ....hivi Mo hana kweli hiyo surveillance watch ...nataka awaumbue hao [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ume chimbua vya kutosha [emoji1319][emoji1319]
 
ATAKAENITEKA NITAMTWANGA BICHWA LA AJABU ATAOTA TIKITI SIO PERA MAANA ATAKUWA NA VICHWA VIWILI AFU NIMFATA ALIEMTUMA NITAMDIDIMIZA GUMBA
 
[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back up ya technolojia ile au hii? ....hivi Mshana umeshindwa kweli kusaidia issue hii kwa teknolojia ile kujua MO yupo wapi? Wengine MO anahusika sana katika shughuli zetu za kila siku za kutupatia ugali,embu fanya mambo kaka!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama Mtume na Nabii wa mitaani naandika.
Ukiwa unafanya makosa halafu ukagundua umafanya kosa na ukaamua kutubu na kuacha kurudia kutenda kosa hilohilo, wewe unakuwa mtu mwenye hekima na utastawi.
Ukidharau na kuendelea kufanya kosa hilohilo tena na tena, mwisho wa siku unaona ni jambo la kawaida na unazoea kukosea huko, hapo unakuwa mtenda dhabi, kosa linakua na kufikia kuitwa dhambi, na wewe unafikia hatua ya kuitwa mtu mwovu, mtenda dhambi.
Ukizoea kutenda dhambi, kila mara kila mara, na unasikia toka kwa watu, shutuma, manung'uniko, lawama, masikitiko lakini wewe hujirekebishi, hapo unakuwa mtenda dhambi, roho yako inatoka katika utawala wa Nuru, Mungu, na kuingia utawala wa Giza wa Shetani, Ibirisi, hapo unakuwa Shetani kamili.
Kule kwetu wanaiatwa Chinjachinja au Mumiani, wanyonya damu.
Mumiani hana huruma, yeye kumtesa mtu au watu ndio fulaha yake.
Mumiani yeye ni mtesaji tu, na hathamini utu wa mtu, huwa anajifikiria yeye tu. Dunia ya sasa ma mumiani wanazidi kuongezeka na ndio waliomteka bosi wetu MO.
Mwisho wa mumiani ni mbaya sana, na ndio maana Mungu aliamua kufupisha umri wa kuishi wa binadamu ili kumzeesha mumiani haraka asije kutesa watu miaka mingi.
Fikiria kama mumiani angeishi miaka mia tisa hali ingekuwaje, watu wangeuliwa wengi na kwa muda mrefu.
Kumyima mtu chakula ni sawa na kumuuwa, kuteka ni mauaji. Iko siku mamumiani watalia na kusaga meno. Watalipa kwa kila tendo baya walilolitenda.
Matendo yao mabaya yamegeuka na kuwa dhambi, na dhambi yao imegeuka na kuwa mauti kwao.
Mwisho wa Somo.
 
Wanaionea donge simba ndio maana wamemteka no
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…