Ilivyo ngumu kumlinda mateka!

Ilivyo ngumu kumlinda mateka!

hivi iliyotangazwa jana ndio ransom au ndio nn?? after four days past!!!
Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwaji
Kwa kawaida kikomboleo ni hitaji la watekaji na ZAWADI NONO ni hitaji la ndugu wa mtekwaji
 
Me nadhan wameamua kuinitiate majadiliano ili watekaje waseme ransom yao kias gan
Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwaji
Kwa kawaida kikomboleo ni hitaji la watekaji na ZAWADI NONO ni hitaji la ndugu wa mtekwaji
 
Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwaji
Kwa kawaida kikomboleo ni hitaji la watekaji na ZAWADI NONO ni hitaji la ndugu wa mtekwaji
nnachoshangaa siku nne kupita ndo wanatangaza dau nene hivo ni kwamba watekaji wasalitiane au?
maana kwa utekaji si sawa na kupotea!
 
Back
Top Bottom