Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao the so called wazungu?Kwenye tukio la ndugu yetu mo kuna alama nyingi waziacha hadharani.
Speechless [emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]New twist as kidnappers of Africa’s youngest billionaire in Tanzania demand unrealistically huge ransom New twist as kidnappers of Africa’s youngest billionaire in Tanzania demand unrealistically huge ransom - Sauti Kubwa via Ngurumo
Dola laki naneDada hiyo figure sijaielewa
Ajabu polisi wanawasisitiza watoe tu hizo $800,000 kuokoa maisha ya mtoto wao2B hiyo.. Familia iko tayari kutoa nusuyake
Hayajabadilika tena chungu kinazidi kumsogelea mhusika mkuu[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi yale majibu ya ile ramli ni yaleyale?
Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwajihivi iliyotangazwa jana ndio ransom au ndio nn?? after four days past!!!
Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwaji
Kwa kawaida kikomboleo ni hitaji la watekaji na ZAWADI NONO ni hitaji la ndugu wa mtekwaji
nnachoshangaa siku nne kupita ndo wanatangaza dau nene hivo ni kwamba watekaji wasalitiane au?Hapana ile ni motisha na zawadi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtekwaji
Kwa kawaida kikomboleo ni hitaji la watekaji na ZAWADI NONO ni hitaji la ndugu wa mtekwaji