Iliwezekanaje ulaya watu walikufa kwà maelfu kila siku kwà korona halafu kufumba na kufumbua watu wote wakawa hawafi tena?

Iliwezekanaje ulaya watu walikufa kwà maelfu kila siku kwà korona halafu kufumba na kufumbua watu wote wakawa hawafi tena?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Hili swali najiuliza sipati majibu ulaya na Marekani walikufa maelfu kwà maelfu kila siku iendayo kwà mungu halafu kufumba na kufumbua ugonjwa wa korona ukakoma hima? Italy kila siku walikuwa watu wanakufa 5000/day mpaka malori ya jeshi yakawa yanabeba maiti! Marekani jumla walikufa watu karibu laki tisa lakini cha ajabu vifo vikakoma hima! Haya ni maajabu ya mzungu kwakweli! Ni hiyo chanzo tuuu au ?
 
Hata mimi naona kulikuwa na namna haiwezekani watu wafe Laki tisa halafu wastop kufa kwà ghafla
 
Uoga ndio ulikuwa unawauwa ila walivoadapt magufuli's theory ya kuishi na korona vifo vikapungua na hatimaye kukoma
 
Hata hapa Tanzania watu wanasema Magu amekufa na corona lakini Cha ajabu baada ya kufa Magu na corona imepotea
 
IMG_20210304_164413.jpg
 
Back
Top Bottom