Iliyofungwa leo na Uganda siyo Taifa stars, ni simba yenye wachezaji tisa

Iliyofungwa leo na Uganda siyo Taifa stars, ni simba yenye wachezaji tisa

Sasa ulitaka Mayele acheze ndio ujue ni Taifa stars??? Mnapokua mnapiga mayowe ya Ki Aziz...Mayelee ..Mabangalaaa mjue hao sio Watz
 
Washabiki wa Tanzania foolish,hasa wa makolo.
Hivi karibuni kuna shabiki wa simba alipost bandiko akiisifia timu ya simba kwamba ni timu bora kuliko zingine kwakuwa inawachezaji Tisa ndani ya Stars.

Ndiyo maana nasema iliyofungwa leo ni simba siyo timu ya Taifa.
Wakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu ili muonekane werevu nga kidogo.
TANZANIA NI MOJA NA WATANZANIA NI WAMOJA
Hata kama sikupata wasaa wa kuangalia hiyo mechi, naomba tu niinge mkono hoja kwa 100%

Hakika simba inastahili pongezi kwa kutoa wachezaji 9! Lakiki pia kwa kufungwa kwenye mechi ya jana. Maana uwingi wao ulikuwa na tija gani sasa kama wameshindwa kulipigania Taifa lao?

Halafu nasikia tu juu juu, eti mchezaji wao Mohamed Hussein ndiye aliyechomesha! Aishi Manula naye kama mlinda mlango kutokea simba hiyo hiyo, akakubali mpira uingie wavuni!!
 
Kibwana, Dickson job, mwamnyeto, Farid Musa, sure boy na Faisal wamehamia.msimbazi lini halafu mkiambiwa yanga wenye akili ni wawili mnabisha
 
Bangi tu...moderator taka taka kama hizi uwe una delete zina jaza jf tu
 
Back
Top Bottom