kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Washabiki wa Tanzania foolish,hasa wa makolo.
Hivi karibuni kuna shabiki wa simba alipost bandiko akiisifia timu ya simba kwamba ni timu bora kuliko zingine kwakuwa inawachezaji Tisa ndani ya Stars.
Ndiyo maana nasema iliyofungwa leo ni simba siyo timu ya Taifa.
Wakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu ili muonekane werevu nga kidogo.
TANZANIA NI MOJA NA WATANZANIA NI WAMOJA
Hivi karibuni kuna shabiki wa simba alipost bandiko akiisifia timu ya simba kwamba ni timu bora kuliko zingine kwakuwa inawachezaji Tisa ndani ya Stars.
Ndiyo maana nasema iliyofungwa leo ni simba siyo timu ya Taifa.
Wakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu ili muonekane werevu nga kidogo.
TANZANIA NI MOJA NA WATANZANIA NI WAMOJA