Tetesi: Iliyokuwa CRDB bank sasa yageuzwa kuwa Chato Club

Tetesi: Iliyokuwa CRDB bank sasa yageuzwa kuwa Chato Club

IMG_1571.png

mkajambe mtawadhe.
 
Yule aliyezua gumzo wakati huu, kimsingi hili panga la haki likisema lisiangalie nani na nani katika kile chama pendwa hakuna kiongozi yoyote atakaye epuka makali ya panga hili. Kiufupi tu namaanisha upande huo hakuna wakumnyooshea mwenzie kidole wote wachafu tu.
hapa umesomeka vyema Chief
 
naona bado kuna watu wanapambana na marehemu, Mzee ameshatimiza Ibada ya mwenyezi Mungu, pambaneni na waliobaki kwa maendeleo ya Taifa lenu na vizazi vyenu..
 
Back
Top Bottom