Huyu Vick ni hovyo tu kilichotokea ni hivi Vicky alikuwa hawara wa zamani sana wa Likwelile Wala Hakuwa mkewe.Akazaa na Likwelile mtoto mmoja wa nje ya ndoa Likwelile akiwa na mkewe na watoto
Baadaye kila mtu akaendelea na maisha yake Vicky Kamata kipindi Cha Kikwete akapata ubunge wa viti maalumu .Akiwa bungeni alipata mwanaume sio mbunge akapitisha kadi kwa wabunge kuwa kapata mume wa kumuoa wamchangie akachangiwa sana na wabunge pesa akawa anashika huyo anayeitwa mumewe mtarajiwa siku ikafika ya send off mwanaume akaingia mitini na pesa zote za michango ya wabunge na watu maarufu!! Ilimchanganya sana kuachika na pesa walichanga watu kuota mbawa!!!
Likwelile kipindi hicho keshatumbuliwa na akawa kafiwa na mkewe Ndipo Vicky akaamua kumrudia kipindi hicho Likwelile afya yake ilikuwa mgogoro.Alipokufa Ndipo Vicky akaanza kuleta za kuleta kutaka kudhulumu Mali za watoto wa Likwelile!!
Hapa anatafuta huruma feki ya Mama Samia.arudishe pesa za michango ya wabunge walizotapeli na huyo mumewe hewa Kama michango ya harusi hewa
Yeye na huyo mume hewa walipanga kutapeli mamilioni ya michango ya wabunge kwa harusi hewa