Tetesi: Iliyokuwa CRDB bank sasa yageuzwa kuwa Chato Club

Tetesi: Iliyokuwa CRDB bank sasa yageuzwa kuwa Chato Club

Unalodai wewe lenye ghorofa ni jengo la TRA
PUNGUZENI UZUSHI

Jengo la CRDB Chato ni hili hapa.

Screenshot_20211016-104335.png


Screenshot_20211016-104315.png
 
Wale wapumbavu ambao akili ziko makalioni hoja zao zilikuwa Kwani mradi ukijengwa Chato Si Tanzania?
Bila kuzingatia mahitaji ya sehemu husika
Eti Jiwe ni Kama Nyerere, nonsense
 
Wale wapumbavu ambao akili ziko makalioni hoja zao zilikuwa Kwani mradi ukijengwa Chato Si Tanzania?
Bila kuzingatia mahitaji ya sehemu husika
Eti Jiwe ni Kama Nyerere, nonsense
Mteseke mpaka mjifungue mimba zenu za chuki!
 
Huyu Vicky nae any amaze.
Alipotaka kuzulumu Mali za watoto wa mumewe haikuwa uonevu e?
Huyu Vick ni hovyo tu kilichotokea ni hivi Vicky alikuwa hawara wa zamani sana wa Likwelile Wala Hakuwa mkewe.Akazaa na Likwelile mtoto mmoja wa nje ya ndoa Likwelile akiwa na mkewe na watoto

Baadaye kila mtu akaendelea na maisha yake Vicky Kamata kipindi Cha Kikwete akapata ubunge wa viti maalumu .Akiwa bungeni alipata mwanaume sio mbunge akapitisha kadi kwa wabunge kuwa kapata mume wa kumuoa wamchangie akachangiwa sana na wabunge pesa akawa anashika huyo anayeitwa mumewe mtarajiwa siku ikafika ya send off mwanaume akaingia mitini na pesa zote za michango ya wabunge na watu maarufu!! Ilimchanganya sana kuachika na pesa walichanga watu kuota mbawa!!!

Likwelile kipindi hicho keshatumbuliwa na akawa kafiwa na mkewe Ndipo Vicky akaamua kumrudia kipindi hicho Likwelile afya yake ilikuwa mgogoro.Alipokufa Ndipo Vicky akaanza kuleta za kuleta kutaka kudhulumu Mali za watoto wa Likwelile!!

Hapa anatafuta huruma feki ya Mama Samia.arudishe pesa za michango ya wabunge walizotapeli na huyo mumewe hewa Kama michango ya harusi hewa

Yeye na huyo mume hewa walipanga kutapeli mamilioni ya michango ya wabunge kwa harusi hewa
 
Hii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?

View attachment 1976146
Akili zingine ni za masabuli ,mbona majengo mengi tu ya mabenki yamepangishwa baadhi za sehemu kama kantini au ofisi na hilo hapo ni si jengo bali nyumba ya kawaida sana, useme basi na baadhi ya majengo ya NBC yaliyo mikoani ambayo mengine ni makazi ya popo, ni ujinga kulaumu kila kitu kwa mwendazake, utadhani ndie alikufanye uwe lofa wa akili
 
meishia kucheka kifalaaaaa

ukute wamehamia jengo jingine halafu jamaa waamua kupiga picha matumizi ya jengo walohama
Mkuu watu wa bavicha wana akili za panzi sana!

Shida kubwa ya watz ni kwamba tuna nyenzo zote za kutuwezesha kutafuta ukweli ila hatutaki sababu ya uvivu wa kusoma.

Sasa ukiangalia hii picha ya jengo la crdb la chato na hilo aliloweka mleta mada ni mbingu na ardhi
Screenshot_20211016-111159_Google.jpg
 
meishia kucheka kifalaaaaa

ukute wamehamia jengo jingine halafu jamaa waamua kupiga picha matumizi ya jengo walohama
Hilo jengo ni la zamani tokea 2009, crdb walijengga jengo lao jipya. Hawa wajinga wa bavicha wao wanashangilia tu
 
Wale wapumbavu ambao akili ziko makalioni hoja zao zilikuwa Kwani mradi ukijengwa Chato Si Tanzania?
Bila kuzingatia mahitaji ya sehemu husika
Eti Jiwe ni Kama Nyerere, nonsense
Wewe ndio una akili zipo makalioni.

Na yote hii ni sababu mibavicha wengi hamtaki kujisomea bali mnakula tu chochote mkiletewa hata kama ni mavi.

Sasa hilo jengo kwenye picha ya mleta mada unaona vinafanana kweli na hili la chato?
Screenshot_20211016-111159_Google.jpg
 
Tulipowaonya humu waache upumbavu wa kujikosha kwa Magufuli UV CCM wakaja juu.
Sasa mmepata jibu.
Na ndege za juzi siku ya kuzima mwenge nadhani ndizo zitatoa kibali rasmi Chato airport iwe ground ya kuanikia Dagaa.
Usiwe mpumbavu!
.
Jengo la crdab chato ni hili hapa na si hilo mlilowekewa nyie mataahira wa hapo ufipa
Screenshot_20211016-111159_Google.jpg
 
Huku nako Vicky Kamata kachomoa battery. Acha Mungu aitwe Mungu

View attachment 1976147
Wanafiki utawajua tu huyu pimbi hana lolote kwanza yeye ndie wa hovyo ,hata benki kuu aliingia kwa gia za kujuana na sio kwa vyeti na hata ubunge wenyewe alipata kimagumashi na mwishowe yeye mbona alitaka kuwadhurumu watoto wa mwananume aliyedandia njiani , nae atubu kwa watoto na wanafamilia wa Dr Likwelile na hizo kamati sio mali zao kwa hiyo kuondolewa au kutoondolewa kusilete chuki,hizo kamati walizikuta na zinakuwa na watu mbalimbali na si ndio wao walisema wanajiuzuru wao wenyewe, waliondolewa akina Zitto hatukusikia kelele juzi tu Polepole kaondolewa kwenye kamati hayujasikia hizo ngonjera sijui za nani kafanya nini, huyu anatafuta huruma tu kutoka kwa mama angalau apewe UDC kisa mwanamke,kwanza kenyewe kana roho mbaya kama nini, tunakajua toka kakiwa misheni town Mwanza na kamezidi jeuri baada ya kuwa mbunge.
 
Back
Top Bottom