Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
PUNGUZENI UZUSHIUnalodai wewe lenye ghorofa ni jengo la TRA
Jengo la CRDB Chato ni hili hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PUNGUZENI UZUSHIUnalodai wewe lenye ghorofa ni jengo la TRA
Una roho ya kichawi.....Bado uwanja wa ndege
Yan hako kajengo ndo kalitutoaga nyongo kweli!? Mbona ule ulikua ni uwekezaji wamaana kabisa!?Hii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?
View attachment 1976146
Mteseke mpaka mjifungue mimba zenu za chuki!Wale wapumbavu ambao akili ziko makalioni hoja zao zilikuwa Kwani mradi ukijengwa Chato Si Tanzania?
Bila kuzingatia mahitaji ya sehemu husika
Eti Jiwe ni Kama Nyerere, nonsense
Ungejua maana ya neno tetesi usingecharuka, bado kiswahili kinatushinda.Tumieni akili basi. Hapo ni pale CRDB walikuwa wamepanga zamani. Idiot kabisa. Jengo la CRDB lipo na linafanya kazi.
Huyu Vick ni hovyo tu kilichotokea ni hivi Vicky alikuwa hawara wa zamani sana wa Likwelile Wala Hakuwa mkewe.Akazaa na Likwelile mtoto mmoja wa nje ya ndoa Likwelile akiwa na mkewe na watotoHuyu Vicky nae any amaze.
Alipotaka kuzulumu Mali za watoto wa mumewe haikuwa uonevu e?
Akili zingine ni za masabuli ,mbona majengo mengi tu ya mabenki yamepangishwa baadhi za sehemu kama kantini au ofisi na hilo hapo ni si jengo bali nyumba ya kawaida sana, useme basi na baadhi ya majengo ya NBC yaliyo mikoani ambayo mengine ni makazi ya popo, ni ujinga kulaumu kila kitu kwa mwendazake, utadhani ndie alikufanye uwe lofa wa akiliHii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?
View attachment 1976146
Mkuu watu wa bavicha wana akili za panzi sana!meishia kucheka kifalaaaaa
ukute wamehamia jengo jingine halafu jamaa waamua kupiga picha matumizi ya jengo walohama
Hilo jengo ni la zamani tokea 2009, crdb walijengga jengo lao jipya. Hawa wajinga wa bavicha wao wanashangilia tumeishia kucheka kifalaaaaa
ukute wamehamia jengo jingine halafu jamaa waamua kupiga picha matumizi ya jengo walohama
Wewe ndio una akili zipo makalioni.Wale wapumbavu ambao akili ziko makalioni hoja zao zilikuwa Kwani mradi ukijengwa Chato Si Tanzania?
Bila kuzingatia mahitaji ya sehemu husika
Eti Jiwe ni Kama Nyerere, nonsense
Usiwe mpumbavu!Tulipowaonya humu waache upumbavu wa kujikosha kwa Magufuli UV CCM wakaja juu.
Sasa mmepata jibu.
Na ndege za juzi siku ya kuzima mwenge nadhani ndizo zitatoa kibali rasmi Chato airport iwe ground ya kuanikia Dagaa.
Wanafiki utawajua tu huyu pimbi hana lolote kwanza yeye ndie wa hovyo ,hata benki kuu aliingia kwa gia za kujuana na sio kwa vyeti na hata ubunge wenyewe alipata kimagumashi na mwishowe yeye mbona alitaka kuwadhurumu watoto wa mwananume aliyedandia njiani , nae atubu kwa watoto na wanafamilia wa Dr Likwelile na hizo kamati sio mali zao kwa hiyo kuondolewa au kutoondolewa kusilete chuki,hizo kamati walizikuta na zinakuwa na watu mbalimbali na si ndio wao walisema wanajiuzuru wao wenyewe, waliondolewa akina Zitto hatukusikia kelele juzi tu Polepole kaondolewa kwenye kamati hayujasikia hizo ngonjera sijui za nani kafanya nini, huyu anatafuta huruma tu kutoka kwa mama angalau apewe UDC kisa mwanamke,kwanza kenyewe kana roho mbaya kama nini, tunakajua toka kakiwa misheni town Mwanza na kamezidi jeuri baada ya kuwa mbunge.
Hili danga , limekosa soko sasa
Mataahira ya pale ufipa yanatembea na nyenzo zote za kuwafanya wapate ukweli ila wanashangilia tu kila wanacholishwa hata kama ni mavi.