beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Bila kuwepo Mikakati, Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria kuwa, Idadi ya Watoto wanaotumikishwa inaweza kuongezeka kwa Milioni 8.9 ifikapo mwisho wa 2022, kutokana na umasikini pamoja na kuongezeka kwa mazingira magumu
Hali ya Ajira kwa Watoto inatajwa kuwa mbaya zaidi katika Nchi masikini ikielezwa Mtoto zaidi ya 1 kati ya 4 (umri kati ya miaka 5 - 17) anafanya kazi hatari kwa Afya na Maendeleo yao
Juni 12 ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Watoto, na japokuwa hatua kubwa zimepigwa kupunguza tatizo hili, bado Watoto Milioni 160 Duniani wapo katika Ajira
=========
The 2022 theme of the world day calls for increased investment in social protection systems and schemes to establish solid social protection floors and protect children from child labour.
While significant progress has been made in reducing child labour over the last two decades, progress has slowed over time, and it has even stalled during the period 2016-2020. Today, 160 million children still engaged in child labour – some as young as 5.
Government social protection systems are essential to fight poverty and vulnerability, and eradicate and prevent child labour. Social protection is both a human right and a potent policy tool to prevent families from resorting to child labour in times of crisis. However, as of 2020 and before the COVID-19 crisis took hold, only 46.9 per cent of the global population were effectively covered by at least one social protection benefit while the remaining 53.1 per cent – as many as 4.1 billion people – were left wholly unprotected. Coverage for children is even lower. Nearly three quarters of children, 1.5 billion, lacked social protection.
Significant progress towards ending child labour requires increased investment in universal social protection systems, as part of an integrated and comprehensive approach to tackle the problem.
Hali ya Ajira kwa Watoto inatajwa kuwa mbaya zaidi katika Nchi masikini ikielezwa Mtoto zaidi ya 1 kati ya 4 (umri kati ya miaka 5 - 17) anafanya kazi hatari kwa Afya na Maendeleo yao
Juni 12 ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Watoto, na japokuwa hatua kubwa zimepigwa kupunguza tatizo hili, bado Watoto Milioni 160 Duniani wapo katika Ajira
=========
The 2022 theme of the world day calls for increased investment in social protection systems and schemes to establish solid social protection floors and protect children from child labour.
While significant progress has been made in reducing child labour over the last two decades, progress has slowed over time, and it has even stalled during the period 2016-2020. Today, 160 million children still engaged in child labour – some as young as 5.
Government social protection systems are essential to fight poverty and vulnerability, and eradicate and prevent child labour. Social protection is both a human right and a potent policy tool to prevent families from resorting to child labour in times of crisis. However, as of 2020 and before the COVID-19 crisis took hold, only 46.9 per cent of the global population were effectively covered by at least one social protection benefit while the remaining 53.1 per cent – as many as 4.1 billion people – were left wholly unprotected. Coverage for children is even lower. Nearly three quarters of children, 1.5 billion, lacked social protection.
Significant progress towards ending child labour requires increased investment in universal social protection systems, as part of an integrated and comprehensive approach to tackle the problem.