Ilyas Abdulwahid Sykes (Jaluo) ndani ya Maktaba

Ilyas Abdulwahid Sykes (Jaluo) ndani ya Maktaba

Why mkuu umpangie mwanadamu mwenzako maisha yake?,ni uamuzi wake na heshimu hilo, tunga vitabu vyako na kaviweke huko hakuna atakaye kuuliza why umeviweka hapo
Mwenye kitabu kajibu kistaarabu ila wewe kenge madoa umeharisha tu
 
Nkanini,

Hapa ni nyumbani kwangu ukija kama kunisalimia utaiona lakini si maktaba ya watu kusoma au kuazima vitabu.

Vitabu vyangu vinpatikana: Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Mtoro, Manyema, Mtambani na KIchangani.
Vitabu vyako vitakuwa vimejaa uongo kama maongezi yako yalivyo Yaqiya na udini mtupu... Dini ya kina Hamas aka Isis
 
Mtambani , lango la Jiji hapo upande upi
Kina...
Msikitini wa Mtambani Kinondoni Barabara ya Kawawa.

Barabara ya kwanza kama unaelekea Magomeni kuna nyumba ya gorofa moja jirani na soko hapo ndipo ilipo bookshop.
 
Mlaleo,
Ungesoma kwanza kabla ya kushutumu.
Ukiwa muongo kwenye Maongezi basi hata ukiandika kitabu utauweka tu ongo wako...

Kuna mtu Alisifia sana Dini ya Uislam akinitambia ni Dini ya haki imekataza mabaya n.k akiniambia nisome Koran... Nikakaa muda mrefu sana sasa majigambo yalipozidi nikaanza kuisoma nikagundua imejaa uongo mtupu na hamna haki kwa Wanawake,Inafundisha chuki ambayo hata wewe Mohamed Said umeishiba vya kutosha.. Pia kwa mtu Mweusi Uislam hauna nafasi kwake according to Hadithi ni motoni tu nilishangaa why Mtu mweusi anaukubali Uislam? huwa nakumbuka yule Mama wa Mbagala alipokuwa akihojiwa analia bila Machozi kuwa Koran kitabu cha Mnyezi Mungu kimekojolewa na Mtoto ambaye masikini alikuwa anabishana na mtoto mwenzake kuwa akiikojolea Koran atageuka chizi sijui Dodo mkristo akaona uongo akakojoa bila kugeuka chizi.. Dogo Muislam alipoona kaumbuka kwa uongo akaenda kusema eti Wislam wakalipuka hadi wakachoma Kanisa... this Dini yenu iacheni plz. kha!

Nayoongea nazijua Aya na Hadithi so ni Ukweli Mtupu atakayependa nitaweka Aya.. Uislam umeruhusu Kudanganya so Sikushangai Mzee Mo
 
Ukiwa muongo kwenye Maongezi basi hata ukiandika kitabu utauweka tu ongo wako...

Kuna mtu Alisifia sana Dini ya Uislam akinitambia ni Dini ya haki imekataza mabaya n.k akiniambia nisome Koran... Nikakaa muda mrefu sana sasa majigambo yalipozidi nikaanza kuisoma nikagundua imejaa uongo mtupu na hamna haki kwa Wanawake,Inafundisha chuki ambayo hata wewe Mohamed Said umeishiba vya kutosha.. Pia kwa mtu Mweusi Uislam hauna nafasi kwake according to Hadithi ni motoni tu nilishangaa why Mtu mweusi anaukubali Uislam? huwa nakumbuka yule Mama wa Mbagala alipokuwa akihojiwa analia bila Machozi kuwa Koran kitabu cha Mnyezi Mungu kimekojolewa na Mtoto ambaye masikini alikuwa anabishana na mtoto mwenzake kuwa akiikojolea Koran atageuka chizi sijui Dodo mkristo akaona uongo akakojoa bila kugeuka chizi.. Dogo Muislam alipoona kaumbuka kwa uongo akaenda kusema eti Wislam wakalipuka hadi wakachoma Kanisa... this Dini yenu iacheni plz. kha!

Nayoongea nazijua Aya na Hadithi so ni Ukweli Mtupu atakayependa nitaweka Aya.. Uislam umeruhusu Kudanganya so Sikushangai Mzee Mo
Mlaleo...
Tabu sana kwa mtu kujieleza yeye mwenyewe.
Wamarekani wamekuja na kitu wanaita ''bragging sheet.''

Mathalan wanakuhoji kwa ajili ya kazi.
Mwisho wa mahojiano wanakupa karatasi uandike sifa zako wewe mwenyewe.

Wanakupa karatasi uandike kwa kuwa wanajua ni shida mtu kueleza sifa zake.

1698467473360.png

Unapajua hapa?
Northwestern University, Evanston, Chicago
Nimezungumza hapa Ukumbi wa Eduardo Mondlane
Huu ni uwanja wa waongo?
1698467599597.png

Unapajua hapa?
Voice of America, Washington DC
Nimefanya kipindi hapo
Huu ni uwanja wa waongo?
1698467668489.png

Unalijua hili Kamusi la Vitabu Sita?
Oxford University Press, New York
Mohamed Said ni mmoja wa Waandishi
Huu ni uwanja wa waongo?​
 
Back
Top Bottom