I'm a lawyer looking for Job Opportunities

I'm a lawyer looking for Job Opportunities

HAKUNA Course inaitwa Bachelor Degree of Laws.

Nenda kaangalie tena kwenye Cheti chako.

Mkuu hata kozi ulosoma hujui kuiandika tutakuamin ukasimamie haki za watu kweli??
Alipaswa aandike bachelor's degree in laws.
 
Kesi kesi kama za mina chaula dandia, ukishinda utaoata umaarufu kazi zitakuja, jina litaanza na wakili msomi.
 
HAKUNA Course inaitwa Bachelor Degree of Laws.

Nenda kaangalie tena kwenye Cheti chako.

Mkuu hata kozi ulosoma hujui kuiandika tutakuamin ukasimamie haki za watu kweli??
Anataka kazi wakati na hajui hata alichosomea tutafungwa mpaka tukome tushukuru uwakili hana
 
Back
Top Bottom