I'm going through hell!...should i keep going?


ayaaaaahhhh....
 
Well,

kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.thank god hakubakwa!

well,sitaki kulikumbuka hili

Unajuaje kama vibaka hawajala MZIGO, ndiyo maana amekuchunia kwa siku kadhaa anasubiri mpaka mzigo utakapo rudi kwenye hali ya kawaida then atakusogelea na mtakuwa pamoja tena.

Pole brah
 
We bana wewe haya tumeshayamaliza wewe unaleta maneno ili mambo yaharibike ili akuoe wewe?[/QUOTE]
you can say it again brother!hawa ndo mashogwa wa kwenye ile thread nyingine...!😀
 
We bana wewe haya tumeshayamaliza wewe unaleta maneno ili mambo yaharibike ili umuowe wewe?

No hapana Mkulu vicheche vilevi-levi sio zangu....

Huyu alikunywa beer za watu, watu wakajimegea chao.
 
No hapana Mkulu vicheche vilevi-levi sio zangu....

Huyu alikunywa beer za watu, watu wakajimegea chao.
kabebe boksi mchumba!libebe vizuri ili UTATULIWE MATATIZO YAKO YA NYUMA!
 

wapi ndugu yangu. kutokuoa sio dawa, kwa mfano hii ishu ni ndogo sana kulinganisha na ile ya kunyimwa access
 
No hapana Mkulu vicheche vilevi-levi sio zangu....

Huyu alikunywa beer za watu, watu wakajimegea chao.

Wewe umekuja kuharibu wakati sisi tumeshahitimu hivi mbona huweza kuwa na HEKIMA? ningekuwa MODE ili mtu awe memba lazima awakilishe school certificate, na sio chekechea certificate....
 
kabebe boksi mchumba!libebe vizuri ili UTATULIWE MATATIZO YAKO YA NYUMA!
Geof, Kindly dont waste your time on this guy. Pls usiharibu mood zako at a time like this, go and do as i told you.
kwa vile huyu anakuja kuchafua hali ya hewa hapa, naomba hata mimi nitoke ataniudhi bure.
 
Geof, Kindly dont waste your time on this guy. Pls usiharibu mood zako at a time like this, go and as i told you.
kwa vile huyu anakuja kuchafua hali ya hewa hapa, naomba hata mimi nitoke ataniudhi bure.
ni kweli sisy!
mimi nashukuru kwa muda wako!tukijaaliwa kesho tutakutana jamvini!huyu mpumbavu ameamka sasa hivi huko wanakokuona duniani,anakuja na mambo yake ya ajabu ajabu.mwache nione atakakofikia.....!
goodevening carmel!
 
we gay vipi?unavyomegwa na ma-beach boy unadhani kila mwanamke?

Look who is taking, asingeenda beach kunywa na ma beach boy then mwisho wakamega, anakudanganya alipewa coke...kama vipi kawatafuta wachina wakupa viagra....fanya hima mzee.
 
Look who is taking, asingeenda beach kunywa na ma beach boy then mwisho wakamega, anakudanganya alipewa coke...kama vipi kawatafuta wachina wakupa viagra....fanya hima mzee.
sorry for you!ambaye hujui mkasa ulivyokuwa.lakini kwa sababu unajua alienda kunywa,IWE HIVYO HIVYO!

sorry for you!unaejua mapenzi ni kumegwa!(labda kwasababu kumegwa ni biashara yako popote ulipo)!my love-affair is more than what you think

on the serious note:I LOVE MY CHICK!
by the way:ukitaka tutukanane kwa heshima zaidi twende kwa pi-emu
 

Siko hapa kwa ajili ya kutukanana kaka, nilikuwa najaribu kukuuliza maswali ambayo yamenijia matokeo yake badala ya kunijibu au kukaa kimya ukaanza kunishambulia kwa matusi, sijakutukana wala sina nia hiyo.

MJ: Kaka lakini kuna msemo mmoja wanasema unafua lenini iliyochafuka nyumbani na siyo barabarani (nadhani tafsiri itakuwa sawa), you love your chick YES lakini kwa mtazamo wangu sidhani kama ilikuwa vema kuja kumvua ngua hapa janvini, japo kuwa watu hapa hawajuani.

Wasalaam

MJ
 

Geoff dear sikueza kuchangia earlier on your issue majukumu yalizidi kidogo. but all in all, usijali those are ups and downs of ndoa popote pale just keep holding on u vowed remember till death do you apart kwa hiyo vumilia tu. ni vijimambo vya muda tu hivyo vinaumaga saa zingine na kuchanganya akili lakini vina mwisho.
Kuhusu huyo jamaa hapo juu, he/she is one of those people who thinks mapenzi siku zote ni "sex" mfikishie ujumbe please mwambie he is a f****n schmuck and dont waste your time na threads zake. watu kama hao wanatumia uhuru vibaya wa JF wa kuongea hovyo hovyo without thinking and those kind of people mode angewapa kinachostahili.

Just take it easy on your issue na mwenza wako. all the best.
 

it's my life!!.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…