Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
- Thread starter
-
- #301
the most appreciated!Geoff dear sikueza kuchangia earlier on your issue majukumu yalizidi kidogo. but all in all, usijali those are ups and downs of ndoa popote pale just keep holding on u vowed remember till death do you apart kwa hiyo vumilia tu. ni vijimambo vya muda tu hivyo vinaumaga saa zingine na kuchanganya akili lakini vina mwisho.
Kuhusu huyo jamaa hapo juu, he/she is one of those people who thinks mapenzi siku zote ni "sex" mfikishie ujumbe please mwambie he is a f****n schmuck and dont waste your time na threads zake. watu kama hao wanatumia uhuru vibaya wa JF wa kuongea hovyo hovyo without thinking and those kind of people mode angewapa kinachostahili.
Just take it easy on your issue na mwenza wako. all the best.
halla dude1tuko pamoja.thank god mambo yenyewe yamekwisha