NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Ila Mrs mtaba akiwa na bf ni makosa...haha ha aha ha ha JF unafiki unafiki unafiki mtupu. puh!!!!!!!
Ushauri wa bure we mama stroke zinaua watu sana siku hizi jitahidi kuwa mwenye furaha wakati wote pia jaribu kuwa unaenda kujog kushusha stress una hasira sana infact nafikiri usiwe karibu na silaha ukiwa na hasira ni hatari, kama kazi yako ni mwalimu wa st. Halmashuri watoto wetu they are finished!