I'm into you....

I'm into you....

wewe hupendagi?????????
  • canstock4114751.jpg
  • canstock4122600.jpg
 
ctanii, mbona unataka kuchezea bahati, haiji mara mbili eti., au unataka mie nikukaribishe nikuliwaze?

nimekupata Nyamayao,
ndo uzuri huu wa karne hii ya TEKNOHAMA,
Enzi zetu zile za kaleeee, huwezi sikia kauli kama hii kutoka kwa akina Nyamayao.........
Hiyo bahati ni yangu Nyamayao, asitokee mwingine tafadhali......................
 
jamani na wewe Marytina kwani umeambiwa weekend ni kudo tu....

No dear! ila ni kiungo muhimu as u knw wiki day bize kwa mikikimikiki kibao. Jpili ya katikati ya mwezi hamna hela so hamna kutoka kwa sasa na mji umepoa
 
unaona sasa Nyamayao..........si nilikwambia.......
yaani kuna watu ni kama inzi hapa, akiona kidonda tu, kashadandia lol....

Mambo ya Male territorial behaviours ...!
 
No dear! ila ni kiungo muhimu as u knw wiki day bize kwa mikikimikiki kibao. Jpili ya katikati ya mwezi hamna hela so hamna kutoka kwa sasa na mji umepoa

so huo mji katikati ya mwezi kazi ni moja tu coz hamna hela? hahahaha ,mji upi huo mae?
 
Back
Top Bottom