bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mambo ya territories hayo...!
mchungaji, sorry sitakuja na Nyamayao kwenye idada ya jumapili,
tusamehe bure mpendwa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya territories hayo...!
Poa basi, Tuelewane tu Kiutu uzima sio mpaka tuitane dogo, namna hiyo si unaniharibia hata huko mkuudogo hebu nenda kwa marytina, nadhani bado nafasi ipo hapo..lol...
wewe!!Njoo tufarijiane kwa leo mpenzi,lakini kesho ntakutosa.:music:
Poa basi, Tuelewane tu Kiutu uzima sio mpaka tuitane dogo, namna hiyo si unaniharibia hata huko mkuu
Monduliso huo mji katikati ya mwezi kazi ni moja tu coz hamna hela? hahahaha ,mji upi huo mae?
Njoo tufarijiane kwa leo mpenzi,lakini kesho ntakutosa.:music:
Basi tena Umenimaliza Tina,achana na Nyamayao inagombewa mnohapa huwa nafurahia Mungu kuniumba mwanamke![]()
Sawa mkuu all ze best, ushachuziwausikonde mwana, just a joke bro.....................
Kwa hii dedication lazima uonee huruma walio mbali na wao kwa wakati huu... Haya ngoja niendelee na video...
Salama Asha DII....pacha wako anapiga kelele wapi leo? Fox Brown!
naja mpenzi, kesho Bacha ameshanifanyia booking.....natanguliza shukrani kwa wema wako dia.
Dah! Rev hua najisahau kucheck subconscious mind nafanya wapi wakati huo...
Mistari ile ya kuanguka kwangu ulifanikiwa.. ulipokuta niko ID vipi nilikubali?? sikumbuki vizuri...lol
Na hivi umetaja Foxy Brown umenifanya nimkumbuke Luther Vandross... Dah!!!
Mi nawakumbuka ABBA!!!!Dah! Rev hua najisahau kucheck subconscious mind nafanya wapi wakati huo... Mistari ile ya kuanguka kwangu ulifanikiwa.. ulipokuta niko alter ID vipi nilikubali?? sikumbuki vizuri...lolNa hivi umetaja Foxy Brown umenifanya nimkumbuke Luther Vandross... Dah!!!
....na wewe weekend hii upo mpweke?
Mi nawakumbuka ABBA!!!!