EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wnawakatisha tamaa wadada wengine, ila amini usiamini watu.wanakutana na wanaanzisha familia humuhumu, hawa wanafunzi tuwaache kwanza wakuo wakifika huko mbele watakuja na ID mpyaNdio watoto hawa anaosema huyu dada, maneno , kejeli na tambo za kishamba . Tatizo sana.
mdogo wangu wanaume huwa wana sehemu chache tu za kuwa matured either kwenye mavazi ama majukumu...Matured Man sio Yule mwenye utoto au ujana haujamuisha!
wahi kwangu nafasi ni chacheHabari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Acha abaki mtoto koote lakini nyanja muhimu awe matured!mdogo wangu wanaume huwa wana sehemu chache tu za kuwa matured either kwenye mavazi ama majukumu...
kule kwingine they remains immature until death...
Umesoma tangazo?wahi kwangu nafasi ni chache
nimesoma na vigezo nimezidi hata hivyo...ila wew ndiyo uje kwanini kila siku tuwafuate PM .?Umesoma tangazo?
all the bestAcha abaki mtoto koote lakini nyanja muhimu awe matured!
Naomba nije mapema kabla ya kwenda huko ?Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Wnawakatisha tamaa wadada wengine, ila amini usiamini watu.wanakutana na wanaanzisha familia humuhumu, hawa wanafunzi tuwaache kwanza wakuo wakifika huko mbele watakuja na ID mpya
KaribuNaomba nije mapema kabla ya kwenda huko ?
Wanaogopa mzigoHizi nyuzi huwa sio za discussion
Zameni huko PM, hamjiamini??
47 hapa, Karibu madam. Elimu yangu std 7. Sina ajira but nina kibarua.Asante kwa positivity na challenges pia.Naomba wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendela .Nawashukuru!
Kwani zaburi 23 ikoje. Mimi siijui na ni husband material [emoji4][emoji4][emoji4]Ukimpata interview mwambie aseme zab 23 yote
akishindwa ujue shekhe huyo kaja,Piga X
Shukrani on my wayKaribu
Kwakua hujaweka vigezo vya umri basi nitakufaa..nb niko chini ya 25 yrsAcha abaki mtoto koote lakini nyanja muhimu awe matured!
Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Zinafananahahaha sasa your enquiries zinafanana na za huyu dada ? daaah mambo ya relationships yapo complicated sana...