I'm looking for matured Man to be my husband

I'm looking for matured Man to be my husband

Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Dah...yaani kigeza cha 6 kimekuwa mwiba mchungu kwangu....vipi kuhusu nguvu za uchumi na misuli imara....haihitajiki? [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Kwan Khantwe, kipimo cha Utu uzima kinaanzia wapi ? Yaan mpaka uwe na MTU alokuzidi Umri ndio ujihisi upo kwa mahusiano???.

Noo noo . nadhan hii ni tamadani tuliyonayo waafrika , Ili mradi mapenzi yamewakolea, ilimradi mnafurahi, ili mradi kila mmoja ameridhika na Mwenzake then ni kuacha moyo upende kama vile hukuwahi kupenda huko nyuma.


Iyo saikolojia ,nadhan nisababu hajapatikana MTU wa kukuprove wrong , but one day utajishangaa kwann upo ktk mahaba thabiti namtu ulomzidi Umri.



Khantwe, Mwanaume anakupenda kwa dhati, mapenzi Yake ni dhahiri kwako, yuko really kwako, anakujali ,kukuheshimu nakukuthamin , MWANAUME anayehitaj kufanya familia nawee...

Kwann umuhukumu kwa Umri wake, ?? Kwann usifikirie juu ya kile ulichonacho wewe ambacho kimemvutia kwako nasio mabinti wadogo????.




Sent using Jamii Forums mobile app
Carlos, nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ila hoja hizi sio applicable kwangu...haiwezi kutokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Carlos, nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ila hoja hizi sio applicable kwangu...haiwezi kutokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana nawewe... Lkn nikushauri kitu, mahali Fulani kuna MTU anakupenda sana na anakuhitaji kwaivo ulivo, anavutika sana nawewe kwa mwonekano. Nahuenda anafurahia siku moja kua na matured woman kama wewe kiumri nakiakili.


Usijijengee ukuta usokua na FAIDA , usijiwekee kanuni na miongozo ambayo kiuhalisia haiwez kuleta mabadiliko yenye FAIDA.


Atakapokuja na uhitaji wa kukufanya mke wake n.k, Ruhusu Moyo wako zaidi ya yote Piga magoti uombee liwe nijambo LA heri nabaraka .


Maisha nihayahaya, nawatu nihawahawa ... MTU bora atabaki kua bora tu !!!

Embu Tujenge familia , na sio kuongozwa na kanuni zilizowekwa na watu .



Katika kosa ambalo niliwah Fanya, NI kuruhusu KUACHANA na Singo mama mmoja alinizidi miaka miwili .......
Sikuwahi kua na mwanamke aliyeniheshimu kwa kiwango kile kama yule mdada...mbali nakazi Yake naelimu yake yakati kati ...alikua kila ASUBUH ananisalimu "Shikamoo Mume wangu" ...

Aiseee aisee .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nj
Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
kama uko na nia ya kweli njoo pm
 
Kuwa mke wa pili upo tiyari?? Mwulize huyu wa kwanza, atakueleza miaka zaidi ya 12 na hajawahi kujutia ndoa yetu. Natamani wa pili kwa sababu, kila siku pilau tuuu hapana, hata wali mweupe ni badiliko la chakula chetu mchele. Ni hilo tu limenisumbua na suria/mchepuko siutaki nataka uwe milki yangu.
Chonde chonde, usijekuwa kicheche na msemaji ka chiriku. usijekuwa fundi vifungo yaani ukiuangalia mfuko vifungo hukatika vyenyewe. Pia usije kuwa mpenda watoto wengi. Nikikupa 2 tu wanatosha.
Njoo PM tuyajenge, kabla mwezi February, 2020 upo nyumbani
 
Back
Top Bottom