miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 624
- Thread starter
-
- #21
Sawa mkuu kuandika kama fb ndo wanaandikajeNaitwa Castr, nakupa jina la Mkuu usishangae mtu akikuita mkuu. Ila zingatia;
1. Usilete jukwaani mazungumzo uliyofanya na mtu pm.
2. Usitukane, kukashifu wala kumuita majina fyongo member mwenzio.
3. Usiandike kama upo fb.
4. Tukutane jukwaa la Love connect.
5. Nitumie picha yako pm.
Meaning?Maelezo ya ki facebook
Love u too ngushilove u miss kitongoji
Mie mwenyewe kenzyna nasubiri tu uweke ili nipate ushahidi mtimilifu kwanza nani kakwambia ujiunge..?
Nimeziba nnDuuuh mbona umeziba fasta hivyo
Sawa nitaweka mkuuweka picha miss kitongoji
mgeni lazima aweke picha
Asante miss chaggakaribu miss huku kwetu ni mapuzuri
I'm new here tufahamiane jamani natanguliza shukrani mi ni ke[emoji1][emoji1]
Kufupisha maneno.Sawa mkuu kuandika kama fb ndo wanaandikaje
Hahaha mi pia nipo jiji la daudi bashite mbezi beach mkoa wa bashite aliepata zero yaani kazungushaKaribu sana miss kitongoji... tutajie taarafa, kata, mji/kijiji na mkoa unaotoka..! mimi napatikana jiji la bashite kitongoji cha daudi, kata ya zungusha mtaa unaitwa fa fafa fa fa karibu sana
mbona haujaniuliza mimi mchumba wako..?Mie mwenyewe kenzy
Hapo ulipo sema mchumbaNimeziba nn
Hahaha sawa mkuu!
!
karibu sana inbox kwangu
Sawa mkuu nimekupataKufupisha maneno.
Tu kuandikwa tyu.
S kuandikwa x
Na vitu kama hivyo ndiyo kuandika kama fb.
Mh jamani kamanda pweza nitakuulizia buanammmh miss kitongoji wewe alaf kama nakufaham vile embu ni pm nijue vzr ni ww au laah
last nakukaribisha jukwaa la mahusiano ukifika uliza kamanda pweza utanipata
Jamani nisamehe babembona haujaniuliza mimi mchumba wako..?
Mgeni mwenyeji huyo, alishajua hadi kuquote!! Mmmmmmkaribu miss huku kwetu ni mapuzuri
kabisa me nadhani nimwenyeji karudi kwa id mpyaMgeni mwenyeji huyo, alishajua hadi kuquote!! Mmmmmm
tutamalizana gheto.... huku tutamwaga mchele kwenye kuku wengi!!Jamani nisamehe babe