I'm new here

Umenishtua no sijavua babe wangu naanzaje sasa kwa mfano
haya nakuja nikukute leo utakiona cha mtema kuni na mtemwa kuni! mapenzi mubashara ndo pigo kuu!!! hlf ngoja nije nikufundishe nakula ban za jf...
 
haya nakuja nikukute leo utakiona cha mtema kuni na mtemwa kuni! mapenzi mubashara ndo pigo kuu!!! hlf ngoja nije nikufundishe nakula ban za jf...
Cha mtema kuni tena babe jamani I said I'm sorry huu mwezi wa mapenzi mubashara so kusamehe muhimu mahabuba
 
Naona wazee mnajipigia mapande wenyewe.mnawahi fursa.
 
Cha mtema kuni tena babe jamani I said I'm sorry huu mwezi wa mapenzi mubashara so kusamehe muhimu mahabuba
haaaa..!! unaniita mimi mahabuba!! yalayalayalayala shubaaaamit tangulia polisi ukakate pf3 kbl kipondo hakijaanza
 
Achana na hao mafisi...... Njoo, mimi ni mlinzi mmasai siogopi mafisi.

Njoo PM nikuchukue alama za mikono ili nipate nafasi ya kuboresha ulinzi kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…