miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 624
- Thread starter
- #41
Hamna bana mie kabla sijasign In nilikua nasoma sana uzi za watu na comments ndo manaMgeni mwenyeji huyo, alishajua hadi kuquote!! Mmmmmm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna bana mie kabla sijasign In nilikua nasoma sana uzi za watu na comments ndo manaMgeni mwenyeji huyo, alishajua hadi kuquote!! Mmmmmm
Dah mnanionea na kwaresma hii why niseme uongokabisa me nadhani nimwenyeji karudi kwa id mpya
Umenishtua no sijavua babe wangu naanzaje sasa kwa mfanotutamalizana gheto.... huku tutamwaga mchele kwenye kuku wengi!!
hlf mbona umevua pete ya uchumba..?
Jumatatu tukutane centralHahaha mi pia nipo jiji la daudi bashite mbezi beach mkoa wa bashite aliepata zero yaani kazungusha
haya nakuja nikukute leo utakiona cha mtema kuni na mtemwa kuni! mapenzi mubashara ndo pigo kuu!!! hlf ngoja nije nikufundishe nakula ban za jf...Umenishtua no sijavua babe wangu naanzaje sasa kwa mfano
Hahaha saangapi daudi bashiteJumatatu tukutane central
Cha mtema kuni tena babe jamani I said I'm sorry huu mwezi wa mapenzi mubashara so kusamehe muhimu mahabubahaya nakuja nikukute leo utakiona cha mtema kuni na mtemwa kuni! mapenzi mubashara ndo pigo kuu!!! hlf ngoja nije nikufundishe nakula ban za jf...
Karibu JF, kama unavyoona picha sio muhimu!Pic kesho jamani[emoji23][emoji23][emoji2]
haaaa..!! unaniita mimi mahabuba!! yalayalayalayala shubaaaamit tangulia polisi ukakate pf3 kbl kipondo hakijaanzaCha mtema kuni tena babe jamani I said I'm sorry huu mwezi wa mapenzi mubashara so kusamehe muhimu mahabuba
HahahahahaNaona wazee mnajipigia mapande wenyewe.mnawahi fursa.
JamaniKaribu JF, kama unavyoona picha sio muhimu!
Jamani nitakuitia bashite babe wangu wwhaaaa..!! unaniita mimi mahabuba!! yalayalayalayala shubaaaamit tangulia polisi ukakate pf3 kbl kipondo hakijaanza
Kweli jamani najaAchana na hao mafisi...... Njoo, mimi ni mlinzi mmasai siogopi mafisi.
Njoo PM nikuchukue alama za mikono ili nipate nafasi ya kuboresha ulinzi kwako.
Yawezekana. But looks like she is new!!kabisa me nadhani nimwenyeji karudi kwa id mpya
Haya karibu sana mkuu miss kitongoji.Hamna bana mie kabla sijasign In nilikua nasoma sana uzi za watu na comments ndo mana
sawa mkuuYawezekana. But looks like she is new!!