Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kama Mimi AuntieKwa umri wangu Huwa naaamshwa na sms ya madeni ndo maana nauliza umri wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2]Usikute mtoto wa watu kasoma shule ya kata, we kutwa nzima viingereza
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23]ndo namalizia kusoma hapa sms ya songeshaKwa umri wangu Huwa naaamshwa na sms ya madeni ndo maana nauliza umri wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hebu kazania kwanza upate course work.....mapenzi waachie third year
Kama huna tako kubwa huwezi kuwa rafiki wa huyo ndg[emoji1787]Hujawahi kuwa serious wewe [emoji38]
Huwa nahisi unanichukia
Mchaga mie tako natoa wapi?😅😅Kama huna tako kubwa huwezi kuwa rafiki wa huyo ndg[emoji1787]
Kwa hiyo una kalio pekee sio?Mchaga mie tako natoa wapi?[emoji28][emoji28]
Thanks for your heart warming reply I did as you said and it's working.You haven’t said hio misunderstanding ilikuwaje….
Ulicheat? Mligombana au??
For her to be cold all of a suddenly ni sababu anakuone wewe ndio mkosaji/guilty kwenye hio misunderstanding….
Kuto apologise au kukaa Kimya kwako amekuona uko arrogant usiejali hisia zake, ndio maana ame lose interest kwako…
If she still text you there’s hope
Now clear misunderstanding with her by opening up, talk/take her to the very moment you had misunderstanding and tell her you are sorry!?, Mwambie unahitaji muanze upya baada ya kusameheana, and tell her your expectations that you want you guys to be like in old times, texting each other etc
😂😂😂Kwa style hiyo Haina kuwaza nani hajapiga 😂😂[emoji23]ndo namalizia kusoma hapa sms ya songesha
Ndio mkuuKwa hiyo una kalio pekee sio?
We have miscellaneous relationship, whatever she asks she get it on time like no any.tui laminate hii comment, tuweke kwenye notice board au kwenye yale mabango ya mtangazo kila mji, kila mkoa, kila kijiji na tuyaweke kwa herufi kubwa tukiyabold hata asioona mbali aone, hutoi hela unalia lia kizungu subiri uone picha linavyokwenda
You are the best!Mie nimemsalimia ya asbh we mchana akijitokeza wa jioni walau tunamtoa kwenye mawazo mabaya, tubarikiwe sana
Thanks for the offer Boss 🙏Penzi linaponeshwa na Penzi , and kama una mtonyo ! My guy let me take u around the world upate vitu amazing na kumsahau huyo binti! seems your lonely and depressed.... Man huna maactivity mengi ndo maana u acting sorry for yourself poor soul.... Nways i gatchuuu nitakupa mbinu usiteseke some good Quality women to make u happy my guy.