Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavimba balaa😂🤣🤣wangu ndio huyo afanye kutafuta wake.
Usikute tunamliwaza hapa kumbe yuko busy kutuma message za kuomba msamaha😆😆😆😆Aaah imeisha hiyo,, 😍 salamu sio kitu cha kumtesa hivi kijana wetu
Kabisaaa na saa saba tusisahau kumuuliza kama kapata lunch.Mie nimemsalimia ya asbh we mchana akijitokeza wa jioni walau tunamtoa kwenye mawazo mabaya, tubarikiwe sana
sio ukiwa huna sema ukiwa na depression za mapenziUkiwa kwenye mahusiano utafanya, lakini kama huna mahusiano huwezi kufikiria sex wewe unataka nianze kuwa kama Dronedrake?😂🚮
Huku Junia yupo kuililia pisi ya muhuni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hapo unakuta mhuni anamtext oyaaa shuka getto hapa, mdada wa watu huyooo ashaenda[emoji23]muda wa kusoma message za kinglesa atatoa wapi
Inawezekana, mara nyingi hawa wadogo wanakuwa bado wako kwenye mchakato wa kupevuka, wanakuwa wanapeleka mapenzi ki-movie movie, bila kujua yale huwa ni maigizo tu ya kwenye tv.Huenda na yeye ni kijana mdogo, ila 30+ ina ahueni sana...
I can feel it.
I invite you to visit my letterbox with her first and last names and one of her photos, she shouldn't be playing with people's minds.
I'm going to pass them on to my grandfather, who is the most respected and famous sorcerer in the whole of Sumbawanga.
After 3 hours, she'll be looking for you.
NB; payments are to be made after the return of your gf.
😂😂Hii ni fedheha walahi ndo maana huwa sitaki kukaza mshipa wa kushauri mtu aliyezama penziniUsikute tunamliwaza hapa kumbe yuko busy kutuma message za kuomba msamaha😆😆😆😆
mtakatifu Anna 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiingereza atakiandika sana
Hawa watoto wa mabus ya njano hawana exposure na mambo ya uswahilini
Ngoja apasuliwe kichwa kwa stress na huyo kivuruge[emoji1787]
Mpaka kielewekeKabisaaa na saa saba tusisahau kumuuliza kama kapata lunch.
🤣🤣🤣 mapenzi ni ushenzi fulani ivi umenkumbusha mbali sana anakosea yeye unaomba msamaha wewe. Ukubwa raha sana ila ukijitambua ni raha zaidiUsikute tunamliwaza hapa kumbe yuko busy kutuma message za kuomba msamaha😆😆😆😆
Umenielewa, acha kukaza fuvu😂tunarudi pale pale.....
ke na me mjifungie chumba kimoja msidinyane??😂 hapana aisee
yahitaji mudaMoyo huwa unasahau maumivu yote 😢
Ki movie movie, how😂🚮?Inawezekana, mara nyingi hawa wadogo wanakuwa bado wako kwenye mchakato wa kupevuka, wanakuwa wanapeleka mapenzi -movie movie, bila kujua yale huwa ni maigizo tu ya kwenye tv.
Sema, uponeumenigusa jamani
sijui hata nisemeje😂
Unaweza ukawa nazo ukaishia jeraNo money, no love.
sivimbi ila ndio mapenzi yalivyo ukipendwa jua kuna mwenzio anapitia hali ngumu ya kutendwaunavimba balaa😂