I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

😆😆😆
Kudate na watu kama hawa raha kweli, ukiamka unakuta zile message za you’re my happiness sijui nini nini huko, message aya sita afu ndio good morning my love😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
 
Misunderstanding yenu ilihusu nini, kuna issue 3 hapo, one of them is true, may be hutaki kuacknowledge tofauti yenu iliyojitokeza, au yeye ni wale watu ugomvi kidogo ananuna hadi mwaka, or hakupendi. Kama Misunderstanding ni kubwa address it accordingly, kama ni wale wa kununa cheki kama atakufaa in the long run, kama hakupendi baba sepa, mapenzi hayalazimishwi, if she doesn't love you, she won't. Halafu what is your plan kwake, kama unaona ni wife material basi don't ignore fact yoyote kati ya hizo tatu hapo juu, they mean life or death.
Such an outstanding reply, thanks we've addressed our misunderstanding already, we cool for now.
 
Back
Top Bottom