Image ya saini ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ok, kwa kuwa muungano ni batili basi turudi kwenye nchi zetu za asili mpaka tutakapopata hati halisi!
 
Hii ni sahihi yake ya mwaka 1973.
 

Attachments

  • nyerere.jpg
    113.8 KB · Views: 197
Hii ni sahihi yake ya mwaka 1973.

Kama ni hivi basi basi zile HATI ZOTE NI FAKE!!!ccm mtaingiza hii nchi ktk majanga makubwa sana.Kama mmeweza kufoji hii hati huenda hata gavana BOT mkamwambia awatengenezee note fake za uchaguzi
 
View attachment 148752

Hii ndiyo sahihi halisi ya Mwalimu.

Ipi ni saini yake ya kweli ???


Hivi, kama kweli saini hizi ni za kughushi, nia ya kufanya hivyo hasa ni nini?
(1) Je, inawezekana kuwa contents za hati hizo nazo zimeghushiwa (sio halisi)?
(2) Je, inawezekana ni kweli hati halisi (for some reasons) zimepotea/hazionekani ha hivyo wamelazimika kuzitengeneza nyingine na kughushi saini?
 

Ku-PROVE hand writing ya mtu including signature ya mtu inachukuwa muda. Give me a break dude! Hivi wewe unaishi dunia gani?! Utakuwa bado unaishi kwenye ZAMA ZA MAWE.
 
Mkuu kweli wewe huoni, herufi K. Ni printed sio handwriting ya Julius. Zote ni fake. Werema na masoud walete hati halisi ya muungano sbb wao ndo wanazitunza.

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar hajawahi kuiona hiyo Hati ya Muungano.........
 
ukichukua karamu na karatasi kisha uweke saini 20,lazima zitatofautiana kwa kiasi flani. Its human nature. Tujadili contents na si mambo madogo kama hayo
 
wajibu waliowahi kua karibunae enzi za utawala wake kama akina butiku,warioba na hans kitine
 
ukichukua karamu na karatasi kisha uweke saini 20,lazima zitatofautiana kwa kiasi flani. Its human nature. Tujadili contents na si mambo madogo kama hayo

Contents pia zakugushi. Kazi kweli kweli.
 
ukichukua karamu na karatasi kisha uweke saini 20,lazima zitatofautiana kwa kiasi flani. Its human nature. Tujadili contents na si mambo madogo kama hayo
Nadhani tatizo linalokuja ni kuwa bila ya kuwapo kwa hati halisi, inakuwa ngumu kuamua kama contents za hizo nakala zinazotiliwa shaka kama zipo sawa.

Na pia, kukosekana (kama kweli hazipo!) kwa hati halisi kunaleta mashaka pia kama kweli kulikuwapo na makubaliano (kisheria).

Mimi nadhani, kama hati halisi ipo/zipo ni vema kuwatoa hofu wenye mashaka kwa kuwapa access ili walinganishe contents za nakala na hati halisi kama zipo sawa ama la. Kama contents zipo sawa, then suala la saini kughushiwa tuwaachie polisi washughulike nalo na sie tuendelee na kutengeneza katiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…