Imagination ya uhalisia wa members wa JF

Imagination ya uhalisia wa members wa JF

makaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
318
Reaction score
374
Ni ukweli usiopingika kwamba humu ndani watu wanatumia majina fake, avator fake , na wengine hujiunga mara mbili mbili kama member mpya. Lakini pamoja na hayo, ukiwa mtaalamu wa lugha ya maandishi naweza tumia mwandiko wa mtu kugundua tone yake, mood yake, au seriousness yake ............!!!!!

Sasa Kwa kuangalia avatar, ID, michango mbali mbali au post za mtu humu ndani, watu wanajaribu kuwaza jinsi mtu alivyo kiuhalisia kabisa Kwa kutumia factors tajwa...!

Ndugu wana JF zoezi letu, mchague member yeyoye kulingana utupe uhalisia wake alivyo livyo Kwa kutumia ID, avatar, posts, michango, yake n.k....!!

NB ; kuna members mwenyew najaribu kuwavutia picha walivo nataman mpaka kuwa PM hasa ke, lkn hata men wengin nikisoma post yake najuaga huy jamaa itakuwa kauzu kinoma...... karibun tutiririke ......!!!
 
Ufipa bhana... Ngoja nikuweke yangu uenjoy haya itafsiri mim mtu wa aina gani

200911.jpg
 
Back
Top Bottom