rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hoja ilikuwa CCM wamejenga viwanja , majibu viwanja vimejengwa na wananchi kupitia Kodi zao . Ilichofanya CCM Kama inavyofanya maeneo mengine ni kufanya uporaji.Je ungetufanya nini kama hizo kodi tungeziweka mfukoni[emoji23]
Alisema kweli kuhusu akili za utopoloKafanya nn mkuu
CCM imejenga viwanja kama mkapa national stadium......uhuru ......ccm kirumba .....kule Tanga unajengwa......na uwanja wa amani uliozinduliwa juziHoja ilikuwa CCM wamejenga viwanja , majibu viwanja vimejengwa na wananchi kupitia Kodi zao . Ilichofanya CCM Kama inavyofanya maeneo mengine ni kufanya uporaji.
Viwanja vingerudishwa serikalini vikamilikiwa na manispaa.
Aibu gani
UmemalizaaaaaaaaaWatu wa utopolo mnakuwaga na illusion sana.
Kuna dunia yenu mkikutatana mnafikiri basi watu wa Simba wanateseeka!
Wale wanaosema wanateseka ni watu wanaotaka kufurahisha hadhara tu.
Binafsi ningeumia sana iwapo zingekuwa goli 2 au zaidi 3.Maana hapo nisingewaza vinginevyo.
Lakini 5! Kwa timu iliyomgomea Al Ahly,unashindwa nini kuamini kulikuwa na hujuma ya wazi kabisa?Basi hilo nikishajua umeshinda kwa magumashi,hiyo hainipi hata presha.
Ishini katika dunia yenu ya kufikirika
Kama sio Yanga basi Simba isingekuwepo, tukumbuke Simba imetokana na Yanga.