Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kama mchambuzi wiki hii nimewaza sana kuhusu suala hili bila Yanga Tanzania ingekuwaje?...
Yanga wanaiweka busy nchi Kwa matukio yao ambayo wanayafanya mfano ...vile vichapo vya 5G [emoji113]...viliifanya nchi kuwa kwenye trending nzito ...Hadi taarifa zilimfikia rais wa FIFA
Soup day, kutinga group stages, pia hivi juzi tumeona mwenyekiti wa vilabu vya Africa Eng hersi akialikwa na raisi wa heshima wa PSG....Hadi akapiga picha na kina klyan magoli mbape
NB: Binafsi naona bila Yanga ...nchi ingepoa sana ( ingechacha)
Yanga wanaiweka busy nchi Kwa matukio yao ambayo wanayafanya mfano ...vile vichapo vya 5G [emoji113]...viliifanya nchi kuwa kwenye trending nzito ...Hadi taarifa zilimfikia rais wa FIFA
Soup day, kutinga group stages, pia hivi juzi tumeona mwenyekiti wa vilabu vya Africa Eng hersi akialikwa na raisi wa heshima wa PSG....Hadi akapiga picha na kina klyan magoli mbape
NB: Binafsi naona bila Yanga ...nchi ingepoa sana ( ingechacha)